Mganga kutoka kitengo cha afya
makao makuu ya jeshi la polisi Tanzania, Dk Issa Ndimila akimchukua damu
dereva wa magari makubwa, Benedicti Samuel kwa ajili ya kumpima
magonjwa katika uzinduzi wa upimaji wa afya kwa madereva wa mabasi na
malori ya masafa marefu ikiwa sehemu ya maadhimisho ya wiki ya nenda kwa
usalama barabarani katika kituo cha mizani cha Mikese mkoa wa Morogoro
mpango ulioanzishwa na TBL na jeshi la polisi nchini.
Mganga kutoka kitengo cha afya
makao makuu ya jeshi la polisi Tanzania, Dk Issa Ndimila akimchukua damu
dereva wa magari makubwa, Kanai John kwa ajili ya kumpima magonjwa
katika uzinduzi wa upimaji wa afya kwa madereva wa mabasi na malori ya
masafa marefu ikiwa sehemu ya maadhimisho ya wiki ya nenda kwa usalama
barabarani katika kituo cha mizani cha Mikese mkoa wa Morogoro mpango
ulioanzishwa na TBL na jeshi la polisi nchini.
Katibu Tawala wilayaa ya
Morogoro, Emmanuel Nzunda akimkabidhi zawadi ya fulana na cheti dereva
wa magari makubwa baada ya kupima afya wakati wa maadhimisho ya wiki ya
nenda kwa usalama barabarani katika kitucha mizani cha Mikese mkoa wa
Morogoro, mpango ulioanzishwa na
TBL na jeshi la polisi nchini.
TBL na jeshi la polisi nchini.
Askari wa kikosi cha usalama
barabarani mkoa wa Morogoro, Silve Massawe akijaza taarifa za dereva
Edward Sanga baada ya kupima afya katika uzinduzi wa upimaji wa afya kwa
madereva wa mabasi na malori ya masafa marefu ikiwa sehemu ya
maadhimisho ya wiki ya nenda kwa usalama barabarani katika kituo cha
mizani cha Mikese mkoa wa Morogoro mpango ulioanzishwa na TBL na jeshi
la polisi nchini.
Askari wa kikosi cha usalama
barabarani mkoa wa Morogoro, Silve Massawe akijaza taarifa za dereva
Abdallah Rajabu baada ya kupima afya katika uzinduzi wa upimaji wa afya
kwa madereva wa mabasi na malori ya masafa marefu ikiwa sehemu ya
maadhimisho ya wiki ya nenda kwa usalama barabarani katika kituo cha
mizani cha Mikese mkoa wa Morogoro mpango ulioanzishwa na TBL na jeshi
la polisi nchini.
EmoticonEmoticon