Kaimu Katibu Mkuu Utumishi Bw.HAB
Mkwizu (wa pili kutoka kushoto) akipokea zawadi ya Tanzania kutoka kwa
mmoja wa Washiriki wa Maonyesho ya Wiki ya Utumishi wa Umma Barani
Afrika Bw. William Budoya yaliyofanyika nchini Congo Brazaville hivi
karibuni. Wanaoshuhudia ni Mkurugenzi wa Utawala na Rasilimaliwatu Ofisi
ya Rais-Utumishi Bw.Aloyce Msigwa (kushoto) na Mkurugenzi wa Mipango
Ofisi ya Rais- Utumishi Bw. Cosmas Ngangaji (wa pili kutoka kulia).
Kaimu Katibu Mkuu Utumishi Bw.HAB
Mkwizu (katikati) akipokea cheti cha ushiriki wa Tanzania kutoka kwa
Mmoja wa Washiriki wa Maonyesho ya Wiki ya Utumishi wa Umma Barani
Afrika Bw. William Budoya yaliyofanyika nchini Congo Brazaville hivi
karibuni. Wanaoshuhudia ni Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
Ofisi ya Rais-Utumishi Bw. Florence Temba (wa kwanza
kushoto), Mkurugenzi wa Utawala na Rasilimaliwatu Ofisi ya Rais-Utumishi
Bw.Aloyce Msigwa (wa pili kutoka kushoto) na Mkurugenzi wa Mipango
Ofisi ya Rais- Utumishi Bw. Cosmas Ngangaji (wa pili kutoka kulia).
Kaimu Katibu Mkuu Utumishi
Bw.HAB Mkwizu (katikati) akionyesha cheti cha ushiriki wa Tanzania
katika Maonyesho ya Wiki ya Utumishi wa Umma yaliyofanyika nchini Congo
Brazaville hivi karibuni. Wanaoshuhudia ni Mkuu wa Kitengo cha
Mawasiliano Serikalini Ofisi ya Rais-Utumishi Bw. Florence Temba (wa
kwanza kushoto), Mkurugenzi wa Utawala na Rasilimaliwatu Ofisi ya
Rais-Utumishi Bw.Aloyce Msigwa (wa pili kutoka kushoto), Mkurugenzi wa
Mipango Ofisi ya Rais- Utumishi Bw. Cosmas Ngangaji (wa pili kutoka
kulia) na mmoja wa washiriki wa maonyesho hayo kutoka Wizara ya Uchukuzi
Bw. William Budoya (wa kwanza kulia).
EmoticonEmoticon