Waziri Mkuu, Mizengo Pinda
akizungumza na Askofu wa Jimbo katoliki la Mpanda, Gervas Nyaisonga
kwenye Makazi ya Askofu huyo mjini Mpanda Septemba 5, 2015.
Waziri Mkuu,Mizengo Pinda
akimsikiliza Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba (NHC), Nehemia
Mchechu wakati alipokagua ujenzi wa nyumba za Shirika hilo mjiniMpanda
Septemba 5, 2015.Kulia ni Mkuu wa mkoa wa Katavi, Dkt. Ibrahim Msengi
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda
akikagua ujenzi wa nyumba za walimu katika Shule ya msingi ya kakuni
unaofanywa na Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) katika kijiji cha kibaoni
mkoani Katavi Septemba 5, 2015. Kulia ni Mkuu wa mkoa huo Dkt.
Ibrahim Msengi na kushoto ni Mkurugenzi Mkuu wa NHC, Nehemia Mchechu.
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda
akikagua ujenzi wa nyumba za walimu katika Shule ya msingi ya kakuni
unaofanywa na Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) katika kijiji cha kibaoni
mkoani Katavi Septemba 5, 2015. Kushoto ni Mkuu wa mkoa huo Dkt.
Ibrahim Msengi na kulia ni Mkurugenzi Mkuu wa NHC, Nehemia Mchechu.
(Picha na ofisi ya Waziri Mkuu)