Msimamizi mkuu wa Duka la Tigo
Nkurumah, Lulu Kikuli akimkabidhi zawadi simu Grace Joachim mkazi wa
Tandale ikiwa ni sehemu maadhimisho ya wiki ya wateja wa Tigo.
Msimamizi mkuu wa Duka la Tigo Nkurumah, Lulu Kikuli akifanyiwa mahojiano na Mwandishi wa habari wa TV1 Robert Latonga.
Meneja wa ubora huduma kwa wateja
wa Tigo Bi. Mwangaza Matotola,akiwakabidhi fulana wateja wa tigo kwenye
maadhimisho ya wiki ya wateja yaliyofanyika Dula la Tigo Nkurumah.
Mtaalam wa huduma kwa wateja wa
Tigo Jackson Jerry (kushoto), Meneja wa Kitengo huduma kwa Wateja Tigo,
Halima Kasoro (katikati) na Meneja wa ubora huduma kwa wateja wa Tigo
Mwangaza Matotola (kulia) wakiwa kwenye picha ya pamoja.
Mwandishi wa habari wa TV1 Robert
Latonga akifanya mahojiano na mteja wa Tigo, Hamadi Maliwata mkazi wa
Mbagala kwenye maadhimisho ya wiki ya wateja wa Tigo.
Wateja wakiendelea kupata huduma.