Mama
Fatma Karume akishuka jukwaani baada ya kuwahutubia Wananchi na Wana
CCM katika viwanja vya mpira bumbwini makoba wakati wa mkutano wa
Mgombea Urais wa Zanzibar Dk Shein, mkutano uliofanyika katika Jimbo la
Bumbwini Unguja.
Mgombea
wa Urais wa Zanzibar Dk Ali Mohamed Shein, akimpongeza Mama Fatma
Karume baada ya kuwahutubia Wananchi na kumuombea Kura kwa Wananchi
wakati wa Mkutano huo wa Kampeni katika Wilaya ya Kaskazini B
uliofanyika viwanja vya mpira bumbwini makoba.
Umati
wa Wanachama wa CCM wakiwa katika viwanja vya mpira bumbwini makoba
wakihudhuria mkutano wa mgombea wa CCM Dk Ali Mohamed Shein.
Mbunge
wa Jimbo la Mpendae Mhe Salim Turky (Mr White) akiwa katika mkutano wa
mgombea Urais wa Zanzibar Dk Ali Mohamed Shein, uliofanyika katika
viwanja vya bumbwini makoba wakimsikiliza Mgombea.
Mwakilishi
wa Jimbo la Tumbatu Mhe Haji Omar Kheri akiwahutubia Wananchi katika
mkutano wa kampeni ya Mgombea wa CCM Dk Shein, katika viwanja vya
bumbwini makomba na kumuombea Kura Dk Shein, ili kuendeleza amani na
utilivu na Masendeleo ya Wazanzibar.
Kada wa CCM Balozi Amina Salim
Ali akiwahutubia Wananchi na Wanachama wa CCM katika mkutano wa kampeni
ya Mgombea wa CCM Dk Shein
Baadhi
ya Wagombea wa CCM wakifuatilia mkutano wa Mgombea wa Urais wa Zanzibar
kupitia CCM Dk. Ali Mohamed Shein, uliofanyika Wilaya ya Kaskazini B
Unguja katika viwanja vya mpira bumbwini makoba.