WAZIRI UMMY MWALIMU KUZINDUA KAMPENI YA WAZEE KWANZA

April 06, 2016

Waziri wa Afya Maendeleo ya Jamii,Jinsia Wazee na Watoto Ummy Mwalimu akizungumza na wandishi wa habari juu ya uzinduzi wa kampeni ya Wazee kwanza toa kipaumbele apate huduma, leo Mkoani Morogoro kushoto ni Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Dkt. Kibwe Stephen.


Kaimu Mkurugenzi mkuu wa Mfuko wa Taifa wa Bima y Afya (NHIF) Michael Mhando Akizungumaza na wazee wa Mkoa wa Morogoro leo`
Wazee wakimsikiliza Waziri wa Afya Maendeleo ya Jamii,Jinsia Wazee na Watoto Ummy Mwalimu .(Picha na Emmanuel Massaka wa Globu ya jamii-Morogoro ).

Share this

Related Posts

Previous
Next Post »