Askofu
Charles Gadi wa Kanisa la Good News For All Ministries akisisitiza
jambo wakati wa mkutano na waandishi wa habari (hawapo pichani) kuhusu
kuombea Amani Zanzibar mapema hii leo jijini Dar es Salaam, kushoto ni
Katibu wa Kanisa hilo Mchungaji Palemo Masawe.