Tigo yadhamini Tamasha Kubwa la Mtikisiko Mjini Songea

November 17, 2015

ti1
Wasanii chipukizi wa Songea, Mary na Mwana King Nizo wakitumbuiza kwenye Tamasha la Mtikisiko lililofanyika uwanja wa Majimaji Mjini Songea . Tamasha liliodhmaniwa na Tigo lenye lengo la kupiga vita maambukizi ya virusi vya Ukimwi
TI2
Kikundi cha Ruvuma Kings toka songea kikitumbuiza kwenye Tamasha la Mtikisiko lililofanyika uwanja wa Majimaji Mjini Songea . Tamasha hilo liliodhmaniwa na Tigo lenye lengo la kupiga vita maambukizi ya virusi vya Ukimwi
TI3
 Kikundi cha Ruvuma Kings toka songea kikitumbuiza kwenye Tamasha la Mtikisiko lililofanyika uwanja wa Majimaji Mjini Songea . Tamasha hilo liliodhmaniwa na Tigo lenye lengo la kupiga vita maambukizi ya virusi vya Ukimwi
TI4
Wacheza shoo wa bendi ya FM Academia wakifanya yao kwenye Tamasha la Mtikisiko lililofanyika uwanja wa Majimaji Mjini Songea . Tamasha hilo liliodhmaniwa na Tigo lenye lengo la kupiga vita maambukizi ya virusi vya Ukimwi
TI5
Mc Edo wa Ebony fm akifanya yake kwenye Tamasha la Mtikisiko liliofanyika mwishoni mwa wiki uwanja wa Majimaji mjini Songea. Tigo ndio wadhaminiwa tamasha hilo.
TI6
Kiongozi wa bendi ya Fm Academia, Nyoshi El Saadat akiwaongoza wacheza shoo wake kwenye Tamasha la Mtikisiko lililofanyika uwanja wa Majimaji Mjini Songea . Tamasha hilo liliodhmaniwa na Tigo lenye lengo la kupiga vita maambukizi ya virusi vya Ukimwi (VVU).
TI7
Sehemu ya wateja wa tigo wakipata burudani  kwenye uwanja wa majimaji mjini Songea.

Share this

Related Posts

Previous
Next Post »