Mashindano ya Uvuvi ya Wazi Slipway yaliyodhaminiwa na Tigo yafana

November 17, 2015
Wasimamizi wa shindano la wazi la uvuvi la Slipway wakipima mmoja kati ya samaki walioshindanishwa kwenye shindano hilo lililodhaminiwa na Tigo jana


Sehemu ya muonekano ambapo mashabiki walikuwa wakisubiria wavuvi kutoka baharini.



Washindi wa kwanza shindano  la wazi la uvuvi Slipway ambao walijishindia mashine ya Yamaha, kutoka kushoto,  Akida Hamad, Ali Mwinshehe na simon Aloyce wakiwa na zawadi yao, shindano hilo lilidhaminiwa na Tigo.


Washindi wa pili shindano  la wazi la uvuvi Slipway ambao walijishindia solar power, kutoka kushoto,  Stamili Seleman na Jumaa Halfan wakiwa na zawadi yao, shindano hilo lilidhaminiwa na Tigo.


Sehemu ya wateja wa Tigo wakipata huduma toka kwa watoa huduma wa Tigo ikiwa ni sehemu mojawapo ya  huduma zilizokuwa zinapatikana kwenye shindano hilo.
Sehemu ya wateja wa Tigo wakipata huduma toka kwa watoa huduma wa Tigo ikiwa ni sehemu mojawapo ya  huduma zilizokuwa zinapatikana kwenye shindano hilo.

photo Krantz Mwanteple C.E.O & Founder, MWANAHARAKATI MZALENDO MEDIA Phone: +255-712579102 /+255-767392840 Email: krantzcharles@gmail.com Website: www.mwanaharakatimzalendo.blogspot.com Whatsapp: 0712579102 "HABARI MAKINI KWA WATU MAKINI"

Share this

Related Posts

Previous
Next Post »