Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa
Rais- Mazingira Mheshimiwa Binilith Mahenge akiukaribisha ujumbe wa
Mabalozi waliotembelea Ofisini kwake wakiongozwa na Balozi wa Sweden Bi.
Katarina Rangnitt Ujumbe huo ulifika kwa ajili ya kuzungumzia maswala
ya mabadiliko ya Tabia Nchi kwa Nchi za zinazoendelea.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa
Rais- Mazingira Mheshimiwa Binilith Mahenge akiongea jambo na Balozi wa
Sweden Bi. Katarina Rangnitt aliyeongoza Ujumbe wa Mabalozi waliofika
Ofisini kwake Oktoba 12, 2015.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa
Rais- Mazingira Mheshimiwa Binilith Mahenge akimsikiliza Balozi wa
Uturuki Nchini Tanzania Bi. Yasemin Eralp aliyekuja Ofisini kwake
kujitambulisha.
Balozi wa Uturuki Nchini Tanzania
Bi. Yasemin Eralp akisaini kitabu cha Wageni mara baada ya kumtembelea
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais- Mazingira Mheshimiwa Binilith
Mahenge Ofisini kwake Mtaa wa Luthuli jijini Dar es Salaam.