Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete na
mgeni wake Rais Dkt.Hage Geingob wa Namibia wakitumbuizwa na vikundi vya
sanaa katika uwanja wa ndege wa mwalimu JK Nyerere Jijini Dar es
Salaam,Oktoba 12, 2015.
Marais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete
na mgeni wake Rais Dkt.Hage Geingob wa Namibia wakipokea heshima ya
Urais wakiwa katika jukwaa maalum,Rais wa Namibia ambaye amemaliza ziara
yake ya kikazi ya siku mbili nchini Oktoba 12, 2015-
Rais Jakaya Mrisho Kikwete
akimsindikiza Rais wa Namibia ambaye amemaliza ziara yake ya kikazi ya
siku mbili nchini leo Oktoba 12, 2015 katika uwanja wa ndege wa
Kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es salaam.
PICHA NA IKULU