Maelfu ya wananchi wakimshangilia Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya
CCM, Mama Samia Suluhu Hassan alipohutubia mkutano wa kampeni leo
katika jimbo la Geita mjini mkoani Geita Jumatatu Oktoba 12, 2015.
Mgombea
Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia Suluhu Hassan akihutubia
maelfu ya wananchi katika mkutano wa kampeni aliofanya leo katika jimbo
la Geita mjini mkoani Geita, Oktoba 12, 2015.
William
Mabula aliyekuwa Mgombea Ubunge jimbo la geita mjini kwa tiketi ya
Chadema, lakini chama hichi kikamuengua dakika za mwisho baada ya
kushinda kura za maoni kisha kupachikwa mwingine aliyehamia chama hicho
kutoka CCM, akitangaza kuhamia CCM wakati wa mkutano wa kampeni
uliofanywa na Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia
Suluhu Hassan katika jimbo hiko mkoani Geita .
Mkuu wa mkoa wa Geita, akimtuza, William Mabula aliyekuwa Mgombea Ubunge jimbo la geita mjini kwa tiketi
ya Chadema, lakini chama hichi kikamuengua dakika za mwisho baada ya
kushinda kura za maoni kisha kupachikwa mwingine aliyehamia chama hicho
kutoka CCM, wakati akitangaza kuhamia CCM wakati wa mkutano wa kampeni
uliofanywa na Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia
Suluhu Hassan katika jimbo hiko mkoani Geita.
ya Chadema, lakini chama hichi kikamuengua dakika za mwisho baada ya
kushinda kura za maoni kisha kupachikwa mwingine aliyehamia chama hicho
kutoka CCM, wakati akitangaza kuhamia CCM wakati wa mkutano wa kampeni
uliofanywa na Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia
Suluhu Hassan katika jimbo hiko mkoani Geita.
Mgombea
Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM Mama Samia Suluhu Hassan akimpongeza
William Mabula aliyekuwa Mgombea Ubunge jimbo la Geita mjini kwa tiketi
ya Chadema, lakini chama hichi kikamuengua dakika za mwisho baada ya
kushinda kura za maoni kisha kupachikwa mwingine aliyehamia chama hicho
kutoka CCM, baada ya kutangaza kuhamia CCM wakati wa mkutano wa kampeni
uliofanyika katika jimbo hiko mkoani Geita.
Baadhi
ya wanachama waliokuwa wa Chadema wakisubiri kuhamia CCM, kumfuata
William Mabula aliyekuwa Mgombea Ubunge jimbo la geita mjini kwa tiketi
ya Chadema, lakini chama hichi kikamuengua dakika za mwisho baada ya
kushinda kura za maoni kisha kupachikwa mwingine aliyehamia chama hicho
kutoka CCM, baada ya kutangaza kuhamia CCM wakati wa mkutano wa kampeni
uliofanywa na Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia Suluhu Hassan katika jimbo hiko mkoani Geita. jumla ya vijana 61, walijiunga CCM
Mgombea Ubunge jimbo la Geita mjini, Costantine Kanyasu, akiomba kura
wakati wa mkutano wa kampeni uliofanywa na Mgombea Mwenza wa Urais kwa
tiketi ya CCM, katika jimbo hilo mkoani Geita.
Mgombea Ubunge jimbo la Geita Vijijini Joseph Kasheku maarufu kwa jina
la King Msukuma, akihutubia mkutano wa kampeni uliofanywa na Mama Samia
katika jimbo la Geita Mjini mkoani Geita.
Msanii
wa Bongo Movie anayeko katika kundi la Nimestuka, akionyesha machejo
yake katika mkutano wa kampeni uliofanywa leo katika jimbo la Geita
mjini mkoani Geita.
Vijana wanaounda kundi la kampeni la Nimestuka, wakishambulia jukwaa
wakati wa mkutano wa kampeni uliofanyika leo katika jimbo la Geita mjini
mkoani Geita
Msanii wa Muziki wa Bongo Fleva anayeko katika kundi la Nimestuka, Juma
Kiroboro maarufu kwa jina la Juma Nature, akishambulia jukwaa akiwa na
Ispekta Haruna wakati wa mkutano wa kampeni wa Mgombea Mwenza wa Urais
kwa tiketi ya CCM, uliofanyika leo katika jimbo la Geita mjini mkoani
Geita.
Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama samia Suluhu Hassan
akiwapongeza Juma nature na Inspekta Haruna baada ya kutumbuiza katika
mkutano wa kampeni aliofanya katika jimbo la Geita mkoani Geita leo
Kiongozi
wa kundi la kampeni la Mama sema na Mwanao, Steve Nyerere akimuombea
kura Mgombea Urais kwa tiketi ya CCM, John Magufuli wakati wa mkutano wa
kampeni uliofanyika leo katika jimbo la Geita mkoani Geita leo
Msanii
wa Bongo Movie ambaye pia ni mwanamuziki wa Bongo Fleva, Snura Majanga,
akitoa burudani wakati wa mkutano wa kampeni wa Mgombea Mwenza wa Urais
kwa tiketi ya CCM, Mama Samia Suluhu Hassan uliofanyika leo katika
jimbo la Geita mjini mkoani Geita, Oktoba 12, 2015.
PICHA ZOTE NA BASHIR NKOROMO