RAIS DK. JOHN POMBE MAGUFULI AVAMIA TENA, SAFARI HII NI HOSPITALI YA MUHIMBILI

November 09, 2015

jo1
Rais Dk. John Pombe Magufuli amevamia tena leo katika Hospitali ya taifa ya Muhimbili na kutembelea wagonjwa mbalimbali pamoja na kuzungumza nao, ili kujua matatizo wanayokabiliana nayo katika kupata huduma, Dk. Magufuli pia amemjulia hali Mkurugenzi wa Kituo cha  Sheria na  haki za binadamu LHRC Mama Hellen Kijo Bisimba ambaye amelazwa hospitalini hapo kutokana na majereaha aliyoyapata wakati alipopata ajali na gari lake maeneo ya Upanga jijini Dar es salaam na kulazwa hospitalini hapo.
jo2
Rais Dk. John Pombe Magufuli Mkurugenzi wa Kituo Sheria na  haki za binadamu LHRC Mama Hellen Kijo Bisimba ambaye amelazwa hospitalini hapo kutokana na majereaha aliyoyapata wakati alipopata ajali na gari lake maeneo ya Upanga jijini Dar es salaam na kulazwa hospitalini hapo.

Share this

Related Posts

Previous
Next Post »