Mkurugenzi
Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu akikagua
eneo kunakojengwa Nyumba za Makazi 96 za Rahaleo Mtwara.
Nguzo za Nyumba za Makazi 96 za Rahaleo Mtwara.
Nguzo za Nyumba za Makazi 96 za Rahaleo Mtwara.
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu
akikagua eneo kunakojengwa Nyumba za Makazi 96 za Rahaleo Mtwara.
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu
akikagua eneo kunakojengwa Nyumba za Makazi 96 za Rahaleo Mtwara.
Mkurugenzi
Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa Nahemia Mchechu akihutubia wakazi wa
Mtwara kwenye mkutano wa hadhara ambao Rais Jakaya Kikwete aliwaaga
wakazi hao.
Mkurugenzi
Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa Nahemia Mchechu akihutubia wakazi wa
Mtwara kwenye mkutano wa hadhara ambao Rais Jakaya Kikwete aliwaaga
wakazi hao.
Mkurugenzi
Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa Nahemia Mchechu akihutubia wakazi wa
Mtwara kwenye mkutano wa hadhara ambao Rais Jakaya Kikwete aliwaaga
wakazi hao
Mke
wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mama Salma Kikwete
akiwapungia mkono wakazi wa Mtwara kama ishara ya kuwaaga kwenye mkutano
wa hadhara uliofanyika kwenye uwanja wa Nangwanda Sijaona.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. Jakaya Mrisho Kikwete akihutbia
wakazi wa Mtwara kwenye uwanja wa Nangwanda ambapo aliwaaga wakazi hao
huku akiwaambia kuwa Mtwara ndio utakuwa mji wenye uwezo wa kiuchumi
Tanzania.
Mkurugenzi
Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa Nehemia Mchechu akiwa na Waziri wa
Nchi Ofisi ya Rais Utawala Bora, Kapteni George Mkuchika mkutano wa
hadhara ambao Rais Jakaya Kikwete aliwaaga wakazi hao.