Mhe. January Makamba akutana na balozi wa Ireland Bi. Fionnuala Gilsenan

April 12, 2016

index
index 
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais- Muungano na Mazingira Mh. January Makamba akiwa na balozi wa Ireland Bi. Fionnuala Gilsenan aliyemtembelea Ofisini kwake leo mtaa wa Luthuli jijini Dar es Salaam.

Share this

Related Posts

Previous
Next Post »