Waziri
wa Nchi Ofisi ya Rais na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe,Issa
Haji Ussi (Gavu) akikabidhiana Ofisi na aliyekuwa Waziri wa Nchi Ofisi
ya Rais Ikulu na Utawala Bora Dkt.Mwinyihaji Haji Makeme Mwadini katika
ukumbi wa Ofisi ya Rais na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi IkuluMjini Zanzibar baada ya uteuzi wa Mawaziri na Naibu Mawazi wapya kwa Wizara mbali mbali za Serikali.[Picha na Ikulu.]
Aliyekuwa
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Ikulu na Utawala Bora Dkt.Mwinyihaji Haji
Makeme Mwadini akitoa shukurani kwa wafanyakazi wakati wa kukabidhi
Ofisi kwa Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe,Issa Haji Ussi (Gavu) katika ukumbi wa Ofisi ya Rais na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Ikulu Mjini Zanzibar baada ya uteuzi wa Mawaziri na Naibu Mawaziri wapya kwa Wizara mbali mbali za Serikali.[Picha na Ikulu.]
Aliyekuwa
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Ikulu na Utawala Bora Dkt.Mwinyihaji Haji
Makeme Mwadini akitoa shukurani kwa wafanyakazi wakati wa kukabidhi
Ofisi kwa Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe,Issa Haji Ussi (Gavu) (katikati) katika ukumbi wa Ofisi ya Rais na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Ikulu Mjini Zanzibar baada ya uteuzi wa Mawaziri na Naibu Mawaziri wapya kwa Wizara mbali mbali za Serikali.[Picha na Ikulu.]
Waziri
wa Nchi Ofisi ya Rais na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe,Issa
haji Ussi (Gavu) akitoa nasaha zake kwa Wafanyakazi wakati wa
makabidhiano ya Ofisi na aliyekuwa Waziri ya Nchi Ofisi ya Rais Ikulu na
Utawala Bora Dkt.Mwinyihaji Makame Mwadini leo katika ukumbi wa Ofisi
ya Rais na Mwenyekiti wa Baraza
la Mapinduzi Ikulu Mjini Zanzibar baada ya uteuzi wa Mawaziri na Naibu
Mawaziri wapya kwa Wizara mbali mbali za Serikali,[Picha na Ikulu.]
Waziri
wa Nchi Ofisi ya Rais na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe,Issa
Haji Ussi (Gavu) na aliyekuwa Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Ikulu na
Utawala Bora Dkt.Mwinyihaji Haji Makeme Mwadini (katikati) wakiombewa
dua baada ya makabidhiano ya Ofisi katika ukumbi wa Ofisi ya Rais na
Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Ikulu Mjini Zanzibar baada ya uteuzi wa Mawaziri na Naibu Mawaziri wapya kwa Wizara mbali mbali za Serikali.[Picha na Ikulu.]
Waziri
wa Nchi Ofisi ya Rais na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe,Issa
Haji Ussi (Gavu) na aliyekuwa Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Ikulu na
Utawala Bora Dkt.Mwinyihaji Haji Makeme Mwadini (katikati) wakipeana na
Makatibu (kulia) Katibu Mkuu Ofisi ya Rais na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Salum Maulid Salum na Katibu wa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti
wa Baraza la Mapinduzi Haroub Shaibu Mussa kwa kuwatakia Kheri na
mafanikio baada ya makabidhiano ya Ofisi katika ukumbi wa Ofisi ya Rais
na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Ikulu Mjini Zanzibar,[Picha na Ikulu.]