Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa
Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akisalimiana na Balozi Mpya wa
India katika Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Bw.Sandeep Arya alipofika
Ikulu Mjini Zanzibar kujitambulisha leo.
[Picha zote na Ikulu.]
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa
Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akizungumza na Balozi Mpya wa
India katika Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Bw.Sandeep Arya aliyefika
kujitambulisha leo Ikulu Mjini Zanzibar.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa
Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akifuatana mgeni wake Balozi
Mpya wa India katika Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Bw.Sandeep Arya
aliyefika kujitambulisha leo Ikulu Mjini Zanzibar,
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa
Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akisalimiana na Balozi Mteule
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Saudi Arabia Bw.Hemedi Iddi
Mgaza aliyefika leo kwa ajili ua kumuaga Rais Ikulu Mjini Zanzibar.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa
Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akizungumza na Balozi Mteule
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Saudi Arabia Bw.Hemedi Iddi
Mgaza aliyefika kumuaga Rais leo Ikulu Mjini Zanzibar
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa
Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akifuatana mgeni wake Balozi
Mteule wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Saudi Arabia Bw.Hemedi
Iddi Mgaza baada ya mazumngumzo alipofika Ikulu Mjini Zanzibar leo
kumuaga Rais.