Jipatie Tsh 2,000 hadi Tsh 40,000 kwa Video kupitia Kisakuzi.com

August 17, 2015
Kisakuzi.com ni mtandao unaoonesha video za matukio mbalimbali yanayotokea nchini. Mtandao huu, unanunua video na kumuwezesha mtazamaji kujiongezea kipato chake. Kutokana na ubora au tukio la video yako, unaweza kupata kuanzia shilingi 2,000 hadi 40,000 kwa video moja. kisakuzi-video-tanzania Tunapokea video ambazo unazimiliki wewe, umeipiga kwa kutumia simu yako au kamera yako. Nirahisi. Upatapo video kama hiyo bila kujali ufupi wake unaweza kuituma kwenda Je, wajua kwa kutumia simu ya mkononi au kompyuta yako unaweza kujiongezea hela za ziada. Kutokana na ubora au tukio la video yako, unaweza kupata kuanzia shilingi 2,000 hadi 40,000 kwa video moja. Tunapokea videos ambazo unazimiliki wewe, umeipiga kwa kutumia simu au kamera yako mwenyewe. Nirahisi upatapo video kama hiyo bila kujali ufupi wake unaweza kututumia kwa njia zifuatazo:
Whatsapp namba +255 714 227 955
E-mail: kisakuzivideo@gmail.com
au pia unaweza uka- upload mwenyewe kwenye tovuti yetu ya www.kisakuzi.com kisakuzi-video-tanzania2 Mara baada ya video yako inapokubalika na kutumika kwenye tovuti yetu ya www.kisakuzi.com tutakulipa fedha yako ndani ya masaa 24. Changamkia fursa kwa kutumia simu yako ya mkononi na uweze kujiongezea kipato chako katika maisha. Kisakuzi inakuwezesha wewe kuwa boss wako mwenyewe. Pale utakapoona kituko au habari yenye mvuto changamka na urekodi video na tutumie. Video za kuchekesha, vituko, kusikitisha, kufurahisha na za kampeni za uchaguzi zinapendwa zaidi na watazamaji wetu. ___________________________________________________________________________________ Joachim Mushi, Mwenyekiti wa Tanzania Bloggers Network (TBN) na Mhariri Mkuu wa Thehabari.com. Mail address:- mushi@thehabari.com/ jomushi79@yahoo.com/ info@thehabari.com Mobile:- 0717 030066 / 0756 469470 Web:- www.thehabari.com http://joemushi.blogspot.com

Share this

Related Posts

Previous
Next Post »