MAZIKO YA MEJA JENERALI BAKARI SHAABANI
Maafisa
wa Jeshi la JWTZ wenye vyeo vya Meja wakiwa wamebeba Mwili wa marehemu
Meja Jenerali Mstaafu Bakari Shaabani Hassan,ukitokea katika Hospitali
ya jeshi Lugalo baada ya kufariki juzi marehemu amefariki akiwa na umri
wa miaka zaidi ya 60.
Maafisa
wa Jeshi la JWTZ wenye vyeo vya Meja wakiwa wameubeba Mwili wa marehemu
Meja Jenerali Mstaafu Bakari Shaabani Hassan,ukitokea katika Hospitali
ya jeshi Lugalo baada ya kufariki juzi.
Maafisa
wa vikosi mbali mbali vua Ulinzi vya zanzibar wakiusubiri mwili wa
marehemu Meja Jenerali Mstaafu Bakari Shaabani Hassan ukitokea katika
Hospitali ya Lugalo Jijini Dar es Salaam baada ya kufariki jana.
Baadhi
ya wananchi na wanafamilia wa Marehemu Meja Jenerali Mstaafu Bakari
Shaabani Hassan wakiwa katika uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Abeid
Amani Karume Zanzibar,kuupokea mwili wa Marehemu huyo aliyefariki
katika Hospitali ya Jeshi Lugalo Jijini Dar es Salaam.
Ndugu
na Jamaa wa Marehemu Meja Jenerali Mstaafu Bakari Shaabani
Hassan,wakilia kwa uchungu baada ya kufika mwili katika uwanja wa ndege
wa Kimataifa wa Abeid Amani Karume Zanzibar,tayari kwa mazishi yake
yatakayofanyika leo kwa heshima zote za Kijeshi katika makaburi ya
Tomondo Wilaya magharibi Unguja.
Ndugu
na Jamaa wa Marehemu Meja Jenerali Mstaafu Bakari Shaabani
Hassan,wakilia kwa uchungu baada ya kufika mwili katika uwanja wa ndege
wa Kimataifa wa Abeid Amani Karume Zanzibar,tayari kwa mazishi yake
yatakayofanyika leo kwa heshima zote za Kijeshi katika makaburi ya
Tomondo Wilaya magharibi Unguja. Picha na Ramadhan Othman-Ikulu ZNZ
Maafisa
wa Jeshi la JWTZ wenye vyeo vya Meja wakiwa wamebeba Mwili wa marehemu
Meja Jenerali Mstaafu Bakari Shaabani Hassan,ukitokea katika Hospitali
ya jeshi Lugalo baada ya kufariki juzi marehemu amefariki akiwa na umri
wa miaka zaidi ya 60.
Maafisa
wa Jeshi la JWTZ wenye vyeo vya Meja wakiwa wameubeba Mwili wa marehemu
Meja Jenerali Mstaafu Bakari Shaabani Hassan,ukitokea katika Hospitali
ya jeshi Lugalo baada ya kufariki juzi.
Marehemu Meja Jenerali Mstaafu Bakari Shaabani Hassan, enzi za uhai wake.
Maafisa
wa vikosi mbali mbali vua Ulinzi vya zanzibar wakiusubiri mwili wa
marehemu Meja Jenerali Mstaafu Bakari Shaabani Hassan ukitokea katika
Hospitali ya Lugalo Jijini Dar es Salaam baada ya kufariki jana.
Baadhi
ya wananchi na wanafamilia wa Marehemu Meja Jenerali Mstaafu Bakari
Shaabani Hassan wakiwa katika uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Abeid
Amani Karume Zanzibar,kuupokea mwili wa Marehemu huyo aliyefariki
katika Hospitali ya Jeshi Lugalo Jijini Dar es Salaam.
Ndugu
na Jamaa wa Marehemu Meja Jenerali Mstaafu Bakari Shaabani
Hassan,wakilia kwa uchungu baada ya kufika mwili katika uwanja wa ndege
wa Kimataifa wa Abeid Amani Karume Zanzibar,tayari kwa mazishi yake
yatakayofanyika leo kwa heshima zote za Kijeshi katika makaburi ya
Tomondo Wilaya magharibi Unguja.
Ndugu
na Jamaa wa Marehemu Meja Jenerali Mstaafu Bakari Shaabani
Hassan,wakilia kwa uchungu baada ya kufika mwili katika uwanja wa ndege
wa Kimataifa wa Abeid Amani Karume Zanzibar,tayari kwa mazishi yake
yatakayofanyika leo kwa heshima zote za Kijeshi katika makaburi ya
Tomondo Wilaya magharibi Unguja. Picha na Ramadhan Othman-Ikulu ZNZ