IKULU YAKANUSHA HABARI YA GAZETI LA MWANANCHI YA RAIS KUMTEMBELEA MFUNGWA MARANDA HOSPITALI YA TAIFA MUHIMBILI
Rais Jakaya Mrisho Kikwete alipotembelea Taasisi ya Tiba ya Mifupa na Upasuaji wa Mishipa ya Fahamu (MOI) katika Hospitali
ya Taifa ya Muhimbili jana (Jumamosi) kuwajulia hali wanahabari wawili –
Ndugu Salum Mkambala wa Channel Ten (juu) na chini Ndugu Margaret
Chambili wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC).