KAMATI YA BUNGE YA KUDUMU YA ARDHI, MALIASILI NA UTALII YALIDHISHWA NA AINA MPYA ZA UTALII ZILIZOANZISHWA KATIKA HIFADHI YA TAIFA YA ZIWA MANYARA

January 26, 2018

????????????????????????????????????
Katibu Mkuu wa Maliasili na Utalii, Maj. Gen. Gaudence Milanzi  (kulia) akiwa pamoja na Meneja wa Mawasiliano wa Shirika la  Hifadhi za Taifa, Paschal Shelutete wakipatiwa maelezo kutoka kwa  Simon Mushi kuhusiana na ‘’canopy walkaway’’  ambayo aina mpya  ya utalii  ya kutembea juu miti kwa kutumia kamba   wakati  Wajumbe Kamati ya Bunge ya Kudumu ya Ardhi, Maliasili na Utalii     walipofanya ziara ya kutembelea jana Hifadhi ya Taifa ya Ziwa Manyara kwa ajili ya kujionea shughuli mbalimbali zilizotekelezwa katika hifadhi hiyo.
????????????????????????????????????
Mbunge wa Korogwe mjini ambaye pia ni Mjumbe Kamati ya Bunge ya Kudumu ya Ardhi, Maliasili na Utalii, Mary Chatanda  akichangia hoja namna ya kuboresha vivutio vya utalii ili watalii wazidi kutembelea katika Hifadhi ya Taifa ya  Ziwa Manyara   mara baada ya  Kamati hiyo kukamalisha ziara ya kutembelea Hifadhi hiyo jana kwa ajili ya kujionea shughuli mbalimbali zilizotekelezwa katika hifadhi hiyo. Wa kwanza kushoto ni Katibu Mkuu wa Maliasili na Utalii, Maj. Gen. Gaudence Milanzi  pamoja na Mbunge wa Babati mjini ambaye pia ni mjumbe wa kamati hiyo,Pauline Gekule.
????????????????????????????????????
Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Japhet Hasunga   akizungumza na vyombo vya habari akiwa katika daraja lililojengwa ndani ya ziwa manyara ambalo ni kivutio cha kipekee kwa watalii ambacho  hutumiwa na watalii kujionea maji asili ya moto (majimoto) katika eneo hilo wakati Kamati ya Bunge ya Kudumu ya Ardhi, Maliasili na Utalii ilipotembelea jana katika  Hifadhi ya Taifa ya Ziwa Manyara.
????????????????????????????????????
Mkurugenzi Mkuu wa Hifadhi ya Taifa Tanzania (TANAPA) Allan Kijazi akizungumza na  wajumbe wa Kamati ya Bunge ya Kudumu ya Ardhi, Maliasili na Utalii ilipotembelea jana katika  Hifadhi ya Taifa ya Ziwa Manyara kw ajili ya kuijonea shughuli mbalimbali zilizotekelezwa na Hifadhi hiyo.
????????????????????????????????????
Mbunge wa Mtama ambaye ni  Mjumbe wa Kamati ya Bunge ya Kudumu ya Ardhi, Maliasili na Utalii, Nape  Nnauye akiwa  kwenye  ‘’canopy walkawaya’ ambayo aina mpya ya shughuli ya utalii  ya kutembea juu miti kwa kutumia kamba wakati kamati hiyo ilipotembelea jana katika  Hifadhi ya Taifa ya Ziwa Manyara.
????????????????????????????????????
Mbunge wa Busokelo ambaye ni  Mjumbe wa Kamati ya Bunge ya Kudumu ya Ardhi, Maliasili na Utalii  Atupele Mwakibete akipongeza namna   Hifadhi ya Taifa ya  Ziwa Manyara ilivyofanikiwa katika kushirikisha sekta binafsi katika kuboresha vivutio vya utalii katika hifadhi hiyo   mara baada ya  Kamati hiyo kukamalisha ziara ya kutembea ndani ya hifadhi hiyo jana kwa ajili ya kujionea shughuli mbalimbali zilizotekelezwa katika.    
????????????????????????????????????
Mkurugenzi wa Mipango na Sera, Dkt. Idd Mfunda akiwa  kwenye  ‘’canopy walkawaya’ ambayo aina mpya ya shughuli ya utalii  ya kutembea juu miti kwa kutumia kamba katika  Hifadhi ya Taifa ya Ziwa Manyara.
????????????????????????????????????
Mtaalamu wa Canopy walkaway , Samson Shoo akiwa ameongozana na wajumbe wa  Kamati ya Bunge ya Kudumu ya Ardhi, Maliasili na Utalii  kwa ajili ya  kwenda kwenye ‘’canopy walkawaya’ ambayo aina mpya  ya utalii  ya kutembea juu miti kwa kutumia kamba wakati Kamati hiyo ’ ilipotembelea jana katika  Hifadhi ya Taifa ya Ziwa Manyara.
            (PICHA ZOTE NA LUSUNGU HELELA –MALIASILI NA UTALII

Share this

Related Posts

Previous
Next Post »