Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwa pamoja na Mkewe Mama Janeth
Magufuli wakisali mbele ya makaburi ya watu waliouwawa katika Mauaji ya
Kimbari nchini Rwanda mwaka 1994. Kulia ni Rais wa Rwanda Paul Kagame
pamoja na Mkewe Janeth Kagame na mtoto.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwa pamoja na Mkewe Mama Janeth
Magufuli wakisali mbele ya makaburi ya watu waliouwawa katika Mauaji ya
Kimbari nchini Rwanda mwaka 1994. Kulia ni Rais wa Rwanda Paul Kagame
pamoja na Mkewe Janeth Kagame na mtoto.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwa na Rais wa Rwanda Paul Kagame
wakiwasha mwenge wa matumaini kuashiria kutotokea tena kwa mauaji ya
Kimbari nchini Rwanda.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwa na Rais wa Rwanda Paul Kagame,
mama Janeth Magufuli, Mama Janeth Kagame wakisikiliza historia ya jinsi
mauaji ya kimbari yalivyotokea katika eneo la kumbukumbu ya mauji hayo.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwa na Rais wa Rwanda Paul Kagame,
mama Janeth Magufuli, Mama Janeth Kagame waiwa wamesimama kutoa heshima
kwa watu waliofariki katika mauaji hayo ya kimbari.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwa na mkewe Mama Janeth Magufuli
wakiangalia kwa uchungu mafuvu ya watu waliopoteza maisha katika mauaji
hayo ya kimbari.
Wageni mbalimbali waliofika kwenye kumbukumbu hizo.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiangalia picha za watoto waliouwawa
kinyama katika eneo la Kumbukumbu ya Mauaji ya Kimbaria Gishozi Kigali
nchini Rwaanda.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akisaini Kitabu katika Jengo la
makumbusho ya mauaji ya Kimbari Gishozi Kigali nchini Rwanda.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akipokea kitabu chenye maelezo
mbalimbali kuhusu mauaji hayo ya kimbari.
Rais wa Rwanda Paul Kagame
akimpokea Rais Magufuli katika viwanja vya Gishozi kabla ya kwenda
kuweka mashada ya maua kwenye makaburi ya watu waliouwawa katika mauaji
ya Kimbari.
Rais wa Rwanda Paul Kagame akiwa
na Rais Magufuli pamoja na Mama Janeth Magufuli, Janeth Kagame
wakielekea kwenye makaburi ya halaiki katika makumbusho ya mauaji ya
Kimbari, Gishozi Kigali nchini Rwanda.