Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Dkt John Pombe Joseph Magufuli na mkewe Mama Janeth Magufuli
wakiwa na wenyeji wao Rais Paul Kagame na Mama Janeth Kagame wakiwasili
katika viwanja vya Kumbukumbu ya Mauaji ya Kimbali mjijini Kigali,
Rwanda, leo katika maadhimisho ya kumbukumbu ya miaka
22 ya mauaji hayo yaliyotokea mwaka 1994 ambapo watu takribani milioni
1,000,000 waliuawa.
22 ya mauaji hayo yaliyotokea mwaka 1994 ambapo watu takribani milioni
1,000,000 waliuawa.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Dkt John Pombe Joseph Magufuli na mkewe Mama Janeth Magufuli
wakishuhudia wenyeji wao Rais Paul Kagame na Mama Janeth Kagame pamoja
na binti yao wakiweka shada la maua katika viwanja vya Kumbukumbu ya
Mauaji ya Kimbali mjijini Kigali, Rwanda, leo
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Dkt John Pombe Joseph Magufuli na mkewe Mama Janeth Magufuli
wakiweka shada la maua wakishuhudiwa na wenyeji wao Rais Paul Kagame na
Mama Janeth Kagame wakiweka shada la maua katika viwanja vya Kumbukumbu
ya Mauaji ya Kimbali mjijini Kigali, Rwanda, leo
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Dkt John Pombe Joseph Magufuli na Rais Paul Kagame kwa pamoja
wakiwasha “Urumuri Rutazima” (Mwenge/mwali wa Matumaini) katika
maadhimisho Kumbukumbu ya miaka 22 ya Mauaji ya Kimbali mjijini Kigali,
Rwanda, leo