Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la
Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu akitia saini kwenye kitabu cha
wageni kwenye banda la maonesho la NHC lilikuwapo katika viwanja vya
Ngongo mkoani Lindi kulikokuwa kukifanyika maonesho hayo ya Nane Nane
kitaifa.
Wateja wakipata maelekezo kutoka
kwa maafisa wa mauzo wa Shirika la Nymba la Taifa kwenye maonyesho ya
Nane Nane Kitaifa Ngongo, Lindi.
Wateja wakipata maelekezo kutoka
kwa maafisa wa mauzo wa Shirika la Nymba la Taifa kwenye maonyesho ya
Nane Nane Kitaifa Ngongo, Lindi.
Wateja wakipata maelekezo kutoka
kwa maafisa wa mauzo wa Shirika la Nymba la Taifa kwenye maonyesho ya
Nane Nane Kitaifa Ngongo, Lindi.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Dk. Jakaya Mrisho Kikwete akihutbia wakazi wa Lindi kwenye
uwanja wa Nane Nane Ngongo ambapo alihitimisha kilele cha sikukuu ya
wakulima Nane Nane. Maonesho ya nane nane yaliyofanyika kitaifa katika
viwanja vya Ngongo mkoani Lindi.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Dk. Jakaya Mrisho Kikwete akihutbia wakazi wa Lindi kwenye
uwanja wa Nane Nane Ngongo ambapo alihitimisha kilele cha sikukuu ya
wakulima Nane Nane. Maonesho ya nane nane yaliyofanyika kitaifa katika
viwanja vya Ngongo mkoani Lindi.