WATANZANIA WAASWA KUTEMBELEA HIFADHI ZA TAIFA,TANAPA WAZINDUA RASMI LEO MKOANI HAPA

August 18, 2015




 Afisa Utalii Hifadhi ya Taifa Saadan, Anjela Mnyaki, akizungumza wakati  wa kongamano la kampeni  la Uhamasishaji  Watanzania kutembelea vivutio vya ndani  vya utalii  lilofanyika Leo  Tanga.



 Washiriki wa kongamano la Utalii wa ndani lililoitishwa na Hifadi ya Taifa Tanzania wakifuatilia maelezo ya namna ambavyo Watanzania wanashindwa kutembelea vivutio vya ndani vilivyopo vikiwemo vya Hifadhi ya Saadani na Mkomanzi ambazo zote ziko Mkoani Tanga
 Mhifadhi Utalii hifadhi ya Taifa ya Saadan, Pelagy Marandu, akizungumza wakati wa kongamano la kampeni la uhamasishaji Watanzania kutembelea vivutio vya ndani vya utalii lililofanyika leo Tanga.




 Kaimu Mkurugenzi wa Masoko Hifadhi ya Taifa ya Saadan, Victor Ketansi, akizungumza wakati wa kongamano la kampeni la uhamasishaji Watanzania kutembelea vivutio vya utalii lililofanyika jana Tanga.



Share this

Related Posts

Previous
Next Post »