Mwenyekiti wa vilabu vya UN vya
Elimu ya juu Zanzibar Ali Kombo Hassan akisoma risala ya vijana wa
vilabu UN katika Mkutano uliofanyika Chuo Kikuu cha Zanzibar Tunguu Mkoa
wa Kusini Unguja.
Mlezi wa vilabu vya UN vya Elimu
ya juu Zanzibar Dkt. Muhd Makame Haji akiwakaribisha wageni walikwa
katika Mkutano wa kuadhimisha siku ya vijana Duniani uliofanyika huko
Chuo Kikuu cha Zanzibar Tunguu Mkoa wa Kusini Unguja.
Mjumbe wa vilabu vya UN vya Elimu
ya juu Khadija Salum Khamis akitoa hutuba yake kuhusu madhara
yanayopatikana kutokana na vurugu za uchauzi, katika Mkutano wa
kuadhimisha siku ya vijana Duniani.
Afisa elimu ya wapiga kura kutoka
Tume ya Uchaguzi Zanzibar Juma Sanifu Sheha akitoa mada juu ya ushiriki
wa vinaja katika uchaguzi wa Amani katika Mkutano wa kuadhimisha siku ya
vijana Duniani uliofanyika huko Chuo Kikuu cha Zanzibar Tunguu Mkoa wa
Kusini Unguja.
Afisa
programu ya maendeo ya Vijana mfuko wa idadi ya watu wa Umoja wa
Mataifa ofisi ya Zanzibar Aoife Spengeman akitoa shukrani kwa vijana
mara baada ya kumaliza kwa Mkutano huo (kushoto) Mratibu wa vilabu vya
UN Zanzibar Maalim Ame Haji Vuai.
Baadhi ya Vijana wa vilabu vya UN
vya Elimu ya juu wakimskiliza kwa makini mtoa mada Juma Sanifu kutoka
Tume ya Uchaguzi (hayupo pichani) wakati akiwasilisha.
Picha na Makame Mshenga Maelezo Zanzibar.