TPB YAZINDUA RASMI KADI YA ATM KWA KIKUNDI CHA VICOBA ENDELEVU

August 15, 2015

 Rais wa VICOBA Endelevu, Devota Likokola, (Watatu kushoto), akinyanyua juu, mfano wa ATM kadi ya Benki ya Posta Tanzania, TPB, wakati wa uzinduzi wa kadi hiyo itakayotumiwa na wanachama wa VICOBA Endelevu kota nchini. Uzinduzi huo ulifanyika leo Agosti 15, 2015 kwenye bustani ya kumbukumbu ya mashujaa, Mnazi Mmoja jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki. Wanaoshuhudia kutoka kushoto ni Kaimu Afisa Mtendaji Mkuu wa TPB, Moses Manyanta, Mwenyekiti wa Bodi wa Wadhamini ya Benki hiyo, Profesa Lettic Rutashobya, na Katimu Mtendaji wa Baraza la Taifa la Uwezweshaji Wananchi Kiuchumi, NEEC, Beng’ Issa.(Picha na Habari na K-VIS MEDIA)

 Wana VICOBA Endelevu wakiingia kwenye bustani hiyo kwa maandamano


 MWENYEKITI wa Bodi hya Wadhamini ya Benki ya Posta Tanzania, TPB, Profesa Lettic Rautashobya, (katikati), Kaimu Afisa Mtendaji Mkuu wa TPB, Moses Manyanta, na Meneja Mkuu wa TPB anayeshughulikia masuala ya kampuni, Noves A. Moses


 Profesa Lettic, na Katibu Mtendaji wa NEEC, Beng' Issa, wakitembelea shughuli za wajasiriamali ambao ni wanachama wa VICOBA Endelevu
 Profesa Rutashobya, akizungumza na waandishi wa habari
 Beng' akizungumza na waandishi wa habari

WAELIMISHAJI kuhusu shughuli za ujasiriamali wa VIDOBA Endelevu, wakipozi kwa picha

Share this

Related Posts

Previous
Next Post »