BBC MEDIA ACTION NA MCT WAWANOA WAANDISHI WA HABARI KANDA YA KASKAZINI MJINI MOSHI

August 13, 2015


  Washiriki wa mafunzo kutoka vyombo mbalimbali  vya habari kanda ya Kaskazini, Arusha, Moshi, Manyara na Tanga  wakimsikiliza mwandishi mwandamizi, Atilio Tigalile juu ya kuandika habari za uchaguzi mkuu mwaka huu kwa usahihi bila kushabikia vyama mafunzo ambayo yameandaliwa na Baraza la Habari la Taifa (MCT) na BBC Media Action na kufanyika Moshi Mkoani Kilimanjaro kwa muda wa siku tano.



 Mwandishi wa siku nyingi ambaye pia ni mkufunzi, Atilio Tigalile, akiwaonyesha  Gazeti la Mwananchi waandishi wa habari kanda ya Kaskazini , Arusha, Moshi, Manyara na Tanga namna ambavyo habari zake haziegemei upande wowote wa vyama na wagombea wakati wa mafunzo ya kuandika habari za uchaguzi mafunzo ambayo yameitishwa na Baraza la Habari la Taifa (MCT) na BBC Media Action na kufanyika Moshi Mkoani Kilimanjaro kwa siku tano.

Share this

Related Posts

Previous
Next Post »