Mwandishi wa siku nyingi ambaye pia ni mkufunzi, Atilio Tigalile, akiwaonyesha Gazeti la Mwananchi waandishi wa habari kanda ya Kaskazini , Arusha, Moshi, Manyara na Tanga namna ambavyo habari zake haziegemei upande wowote wa vyama na wagombea wakati wa mafunzo ya kuandika habari za uchaguzi mafunzo ambayo yameitishwa na Baraza la Habari la Taifa (MCT) na BBC Media Action na kufanyika Moshi Mkoani Kilimanjaro kwa siku tano.
BBC MEDIA ACTION NA MCT WAWANOA WAANDISHI WA HABARI KANDA YA KASKAZINI MJINI MOSHI
Mwandishi wa siku nyingi ambaye pia ni mkufunzi, Atilio Tigalile, akiwaonyesha Gazeti la Mwananchi waandishi wa habari kanda ya Kaskazini , Arusha, Moshi, Manyara na Tanga namna ambavyo habari zake haziegemei upande wowote wa vyama na wagombea wakati wa mafunzo ya kuandika habari za uchaguzi mafunzo ambayo yameitishwa na Baraza la Habari la Taifa (MCT) na BBC Media Action na kufanyika Moshi Mkoani Kilimanjaro kwa siku tano.