Najua
nina watu wangu wanaopenda stori za siasa sasa stori ninayotaka
kukusogezea ni hii kutoka kwenye Chama cha ACT-Wazelendo ambacho leo
kimepitisha majina mawili , Anna Elisha na Mussa Yusuph kuwa wao
wagombea urais kwenye uchaguzi Mkuu wa Tanzania October .
Hawa ndio walioteuliwa kugombea urais kupitia chama cha ACT – Wazalendo , Anna Elisha na Mussa Yusuph.
Kitila Mkumbo akizungumza na wanachama.