March 16, 2014

MBUNGE MAARUFU WA CHADEMA ZITTO KABWE ALIPOSIMAMIA KIKAO CHA KAMATI YA PAC YA BUNGE LEO LIVE!!

"Kamati ya PAC imemaliza kikao chake na Wizara ya Ardhi, Fungu 48. Wizara imetekeleza agizo la Kamati la kutoa upya hati za umiliki wa Ardhi ambapo kumbukumbu za ardhi zitaunganishwa na mfumo wa namba za mlipa kodi na vitambulisho vya Taifa. Hati salama zisizogushika (ngumu kugushi). Kamati imeridhia mchakato uendelee ili kuanza kazi hiyo kwa awamu na kwa kuanzia na mkoa wa Dar Es Salaam."








Share this

Related Posts

Previous
Next Post »