March 04, 2014

JK AKAGUA MADARAJA YA KIJESHI

 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu, Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete, akikagua madaraja ya kijeshi yakiwemo yale ya kuelea juu ya maji wakati alipokagua zana za kijeshi jana, Jumatatu, Machi 2, mwaka huu, 2014.
CHANZO:MROKI MROKI.

Share this

Related Posts

Previous
Next Post »