TANGA RAHA BLOG March 04, 2014 TANGA RAHA BLOG JK AKAGUA MADARAJA YA KIJESHI Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu, Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete, akikagua madaraja ya kijeshi yakiwemo yale ya kuelea juu ya maji wakati alipokagua zana za kijeshi jana, Jumatatu, Machi 2, mwaka huu, 2014. CHANZO:MROKI MROKI. Share this Author : TANGA RAHA BLOG Related Posts