Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akimuapisha Balozi Amina Salum Ali kuwa Waziri wa Biashara,
Viwanda na Masoko katika hafla ya kuapisha Baraza jipya la Mawaziri
iliyofanyika katika viwanja vya Ikulu,(katikati) Katibu Mkuu Kiongozi
Dkt.Abdulhamid Yahya Mzee,[Picha na Ikulu.]
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa
Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akimuapisha Mhe,Haroun Ali
Suleiman kuwa Waziri wa Nchi,Ofisi ya Rais katiba ,Sheria,Utumishi wa
Umma na Utawala Bora,katika hafla ya kuapisha Baraza jipya la Mawaziri
iliyofanyika katika viwanja vya Ikulu,(katikati) Katibu Mkuu Kiongozi
Dkt.Abdulhamid Yahya Mzee,[Picha na Ikulu.]
Rais wa Zanzibar na
Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akimuapisha
Mhe,Mohammed Aboud Mohammed kuwa Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamo wa Pili
wa Rais katika hafla ya kuapisha Baraza jipya la Mawaziri iliyofanyika
katika viwanja vya Ikulu,(katikati) Katibu Mkuu Kiongozi Dkt.Abdulhamid
Yahya Mzee,[Picha na Ikulu.]
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa
Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akimuapisha Mhe,Issa Haji Ussi
Gavu kuwa Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi katika hafla ya kuapisha Baraza jipya la Mawaziri
iliyofanyika katika viwanja vya Ikulu,(katikati) Katibu Mkuu Kiongozi
Dkt.Abdulhamid Yahya Mzee,[Picha na Ikulu.]
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa
Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akimuapisha Balozi Ali Abeid
Karume kuwa Wazi wa Ujenzi Mawasiliano na Usafirishaji katika
hafla ya kuapisha Baraza jipya la Mawaziri iliyofanyika katika viwanja
vya Ikulu,(katikati) Katibu Mkuu Kiongozi Dkt.Abdulhamid Yahya
Mzee,[Picha na Ikulu.]
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa
Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akimuapisha Mhe,Hamad Rashid
Mohamed kuwa Waziri wa Kilimo,Mifugo,Maliasili na Uvuvi katika
hafla ya kuapisha Baraza jipya la Mawaziri iliyofanyika katika viwanja
vya Ikulu,(katikati) Katibu Mkuu Kiongozi Dkt.Abdulhamid Yahya
Mzee,[Picha na Ikulu.]
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa
Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akimuapisha Mhe,Haji Omar Kheir
kuwa Wazir wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Idara Maalum za SMZ katika
hafla ya kuapisha Baraza jipya la Mawaziri iliyofanyika katika viwanja
vya Ikulu,(katikati) Katibu Mkuu Kiongozi Dkt.Abdulhamid Yahya
Mzee,[Picha na Ikulu.]
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa
Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akimuapisha Mhe,Mohammed Ahmed
Salum kuwa Naibu Wazi wa Ujenzi Mawasiliano na Usafirishaji katika
hafla ya kuapisha Baraza jipya la Mawaziri iliyofanyika katika viwanja
vya Ikulu,(katikati) Katibu Mkuu Kiongozi Dkt.Abdulhamid Yahya
Mzee,[Picha na Ikulu.]
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa
Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akimuapisha Mhe,Said Soud Said
kuwa Mjumbe wa Baraza la Mapinduzi na Waziri Asiekuwa na Wizara Maalum
katika hafla ya kuapisha Baraza jipya la Mawaziri iliyofanyika katika
viwanja vya Ikulu,(katikati) Katibu Mkuu Kiongozi Dkt.Abdulhamid Yahya
Mzee,[Picha na Ikulu.]
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa
Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akimuapisha Mhe,Lulu Msham
Abdulla kuwa Naibu Waziri wa Kilimo,Mifugo,Maliasili na Uvuvi katika
hafla ya kuapisha Baraza jipya la Mawaziri iliyofanyika katika viwanja
vya Ikulu,(katikati) Katibu Mkuu Kiongozi Dkt.Abdulhamid Yahya
Mzee,[Picha na Ikulu.]
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa
Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akimuapisha Mhe,Mmanga Mjengo
Mjawiri kuwa Naibu Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali katika hafla ya
kuapisha Baraza jipya la Mawaziri iliyofanyika katika viwanja vya
Ikulu,(katikati) Katibu Mkuu Kiongozi Dkt.Abdulhamid Yahya Mzee,[Picha
na Ikulu.]
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa
Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akimuapisha Mhe,Juma Ali Khatib
kuwa Mjumbe wa Baraza la Mapinduzi na Waziri Asiekuwa na Wizara Maalum
katika hafla ya kuapisha Baraza jipya la Mawaziri iliyofanyika katika
viwanja vya Ikulu,(katikati) Katibu Mkuu Kiongozi Dkt.Abdulhamid Yahya
Mzee,[Picha na Ikulu.]
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa
Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (katikati) akiwa katika picha
ya pamoja na Manaibu Mawaziri wa Wizara mbali mbali (waliosimama) pamoja
na Viongozi Wakuu baada ya kuwaapisha Wajumbe wapya wa Baraza la
Mawaziri kwa kipicha pili cha Uongozi wake katika hafla ya kuapisha
Baraza jipya la Mawaziri iliyofanyika katika viwanja vya Ikulu, [Picha
na Ikulu.]
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa
Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (katikati) akiwa katika picha
ya pamoja na Manaibu Mawaziri wa Wizara mbali mbali (waliosimama) pamoja
na Viongozi Wakuu baada ya kuwaapisha Wajumbe wapya wa Baraza la
Mawaziri kwa kipicha pili cha Uongozi wake katika hafla ya kuapisha
Baraza jipya la Mawaziri iliyofanyika katika viwanja vya Ikulu, [Picha
na Ikulu.]