Waziri wa afya,maendeleo ya jamii,jinsia,wazee na watoto akisalimiana na watoa huduma wa hospitali ya wilaya ya kyela.
Baadhi
ya wauguzi wa hospitali ya wilaya wakimsubiri kumpokea waziri wa
afya.Mh.Ummy Mwalimu amewakumbusha watoa huduma hao kuwahudumia wananchi
kwa kufuata weledi wa taaluma zao.
Waziri
Ummy Mwalimu akipata maelezo kwenye dirisha la wanaotumia kadi ya mfuko
wa wa jamii(CHF) toka kwa mhudumu(hayupo pichani)wa hospitali ya wilaya
ya kyela.
Waziri
Ummy Mwalimu akizungumza na watendaji wa wilaya ya Kyela,kushoto ni
makamu mwenyekiti wa wilaya Stephen Mwangalaba,na kulia ni Mkuu wa
Wilaya hiyo dkt. Thea Ntara.
Mkuu
wa Wilaya ya Kyela dkt.Thea Ntara akitoa taarifa ya wilaya kwa waziri
wa afya,maendeleo ya jamii,jinsia,wazee na watoto Ummy
Mwalimu,alipotembelea hospitali ya wilaya ya kyela.
Picha na mpiga picha wetu.