WAZIRI UMMY MWALIMU AMEAHIDI KUWAPELEKEA DAWA ZA KUTIBU MAJI(WATER GUARD) WANANCHI WA KYELA.

April 10, 2016

1 
Waziri wa afya,maendeleo ya jamii,jinsia,wazee na watoto akisalimiana na watoa huduma wa hospitali ya wilaya ya kyela.
2 
Baadhi ya wauguzi wa hospitali ya wilaya wakimsubiri kumpokea waziri wa afya.Mh.Ummy Mwalimu amewakumbusha watoa huduma hao kuwahudumia wananchi kwa kufuata weledi wa taaluma zao.
5 
Waziri Ummy Mwalimu akipata maelezo kwenye dirisha la wanaotumia kadi ya mfuko wa wa jamii(CHF) toka kwa mhudumu(hayupo pichani)wa hospitali ya wilaya ya kyela.
3 
Waziri Ummy Mwalimu akizungumza na watendaji wa wilaya ya Kyela,kushoto ni makamu mwenyekiti wa wilaya Stephen Mwangalaba,na kulia ni Mkuu wa Wilaya hiyo dkt. Thea Ntara.
4 
Mkuu wa Wilaya ya Kyela dkt.Thea Ntara akitoa taarifa ya wilaya kwa waziri wa afya,maendeleo ya jamii,jinsia,wazee na watoto Ummy Mwalimu,alipotembelea hospitali ya wilaya ya kyela.
Picha na mpiga picha wetu.

Share this

Related Posts

Previous
Next Post »