DR.JOHN POMBE MAGUFULI: WANA HANDENI NIPENI KURA NIMALIZIE MIRADI YA BARABARA NILIYOKWISHA IANZA

September 07, 2015

????????????????????????????????????
mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha Mapinduzi Dr. John Pombe Magufuli akihutubia katika mkutano wa kampeni uliofanyika jioni ya leo kwenye uwanja wa CCM wa Kigoda mjini Handeni na kuhudhuriwa na maelfu ya wananchi wilayani humo, Dr Magufuli amewaomba wananchi wa Handeni kumpigia kura za ndiyo ifikapo Oktoba 25 mwaka huu ili Rais na  aweze kuleta maendeleo na kakamilisha miradi mbalimbali ya barabara aliyoanza kuitekeleza wilayani humo akiwa Waziri wa Ujenzi.
Naye Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi ya CCM Ndugu Abdallah Bulembo ameitaka Tume ya Taifa ya Uchaguzi na waangalizi wa kimataifa kutoa tamko kufuatia baadhi ya wagombea kuanza kufanya kampeni chafu wakiingia makanisani na kujinadi na kuomba kura makanisani jambo ambalo sio jema kwa taifa letu kwani siasa haihusiani na masuala ya dini.(PICHA NA JOHN BUKUKU – FULLSHANGWE-HANDENI)
????????????????????????????????????
mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dr. John Pombe Magufuli akisisitiza jambo wakati akiwahutubia wananchi katika mkutano uliofanyika kwenye uwanja wa CCM Kigoda mjini Handeni.
????????????????????????????????????
Umati wa wananchi ukifuatilia mkutano huo.
????????????????????????????????????
mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dr. John Pombe Magufuli akipanda jukwaani kwenye mkutano uliofanyika kwenye uwanja wa CCM Kigoda Handeni.
????????????????????????????????????
Baadhi ya wazee wa wilayani Kilindi wakiwa katika mkutano wa kampeni uliofanyika katika kata ya  Songe Kilindi.
????????????????????????????????????
Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dr. John Pombe Magufuli akiwahutubia wananchi wa Kilindi.
????????????????????????????????????
Kada wa CCM Ndugu Amon Mpanju akizungumza na wana Kilindi kwenye mkutano wa kampeni uliofanyika kijiji cha Songe.
????????????????????????????????????
Naye Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi ya CCM Ndugu Abdallah Bulembo akiwahutubia wananchi katika mkutano huo.
????????????????????????????????????
Mzee Yusuf Makamba akiwahutubia wananchi wa kata ya Songe wilayani Kilindi wakati akimnadi Dr. John Pombe Magufuli.
????????????????????????????????????
Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dr. John Pombe Magufuli akizungumza na Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Tanga Hery Shekifu katikati nanyekiti wa Wazazi  Ndugu Abdallah Bulembo wananchi wa Kilindi.
????????????????????????????????????
Baadhi ya Akina mama wa wanachama wa CCM wakiimba huku wakiwa wameshika mabango yene picha ya Dr. John Pombe Magufuli.
????????????????????????????????????
Baadhi ya vijana wakimpungia mkono Dr. John Pombe Magufuliwakati akiwa njiani kuelekea wilaya ya Kilindi akitokea mkoani Morogoro.
????????????????????????????????????
Akina mama wakimpungia mkono Dr. John Pombe Magufuli.
????????????????????????????????????
Dr. John Pombe Magufuli akizungumza na wananchi njiani akitokea mkoani Morogoro kwenda Handeni Mkoani Tanga.
????????????????????????????????????
????????????????????????????????????
????????????????????????????????????
Hapa Kazi Tu!
????????????????????????????????????
Lazima tumuone Magufuli
????????????????????????????????????
????????????????????????????????????
Baadhi ya wananchi wakiwa wameshika mabango yenye picha ya Sadiq Muradi Mgombea ubunge wa jimbo la Mvomero.
????????????????????????????????????
Mmoja wa wananchi waliohudhuria katika mkutano wa kampeni mjini Turiani akipata tunda la Chungwa huku akiwa amekumbatia picha yake yenye picha ya Mgombea wa jimbo la Mvomero Ndugu Sadiq Murad.
????????????????????????????????????
Wananchi wakiwa na picha za Dr. John Pombe Magufuli katika mkutano wa kampeni uliofanyika Turiani mkoani Morogoro.
????????????????????????????????????
Dr. John Pombe Magufuli akizungumza na wananchi mjini Turiani.
????????????????????????????????????
Kutoka kulia ni Mzee Yusuf Makamba, Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Morogoro Ndugu Innocent Kalogeres na Ndugu Sadiq Murad mgombea ubunge jimbo la Mvomero.
????????????????????????????????????
Dr. John Pombe Magufuli akizungumza wakati akimnadi mgombea ubunge wa jimbo la Mvomero Ndugu Sadiq Murad.
????????????????????????????????????
Dr. John Pombe Magufuli akisoma moja ya mabango ambayo yaliandikwa na vijana wachoma mahindi wa Dumila. 
????????????????????????????????????
Dr. John Pombe Magufuli akiwasili katika eneo la Dumila akiwa njiani kuelekea mkoa wa Tanga kupitia Kilindi, Handeni mkoani Tanga.

Share this

Related Posts

Previous
Next Post »