TWIGA CEMENT YAWAPIGA MSASA WAFYATUA TOFALI JIJINI MWANZA

September 07, 2015

Mkurugenzi wa Biashara wa Kampuni ya Cement ya Twiga Simon Delens,akizungumza na wafyatua matofali wa Mkoani Mwanza juzi,kwenye semina ya mafunzo ya kutengeneza matofali imara.
Mhandisi kutoka Kampuni ya Cement ya Twiga Emmanuel Owoya, akitoa maelezo ya umuhimu wa kuvaa viatu vya usalama wakati wa kazi,kwenye mafunzo ya matengeneza matofali wa Mkoani Mwanza juzi.
Mhandisi kutoka Kampuni ya Cement ya Twiga Emmanuel Owoya,akimvalisha kifaa cha kuzuia vumbi puani na mdomoni mmoja wa watengeneza matofali mkoani Mwanza Issac Waitara, kwenye mafunzo ya kutengeneza matofali wa imara.
Mhandisi kutoka Kampuni ya Cement ya Twiga Emmanuel Owoya,akionyesha nguo ya usalama (Overall)na umuhimu wa kuivaa wakati wa kazi,kwenye mafunzo ya matengeneza matofali wa Mkoani Mwanza juzi.
Mkurugenzi wa Biashara wa Kampuni ya Cement ya Twiga Simon Delens,akimpongeza Nickson Cheka(kulia) baada ya kujibu vizuri maswali Mkoani  Mwanza juzi,kwenye semina ya mafunzo ya kutengeneza matofali imara.
Baadhi ya wafyatua matofali wa Mkoani Mwanza wakiwa na wafanyakazi wa Kamuni ya saruji ya Twiga baada ya semina ya kuwafundisha mambo yahusuyo usalama, afya na kutengeneza mtofali yaliyo bora.

Share this

Related Posts

Previous
Next Post »