KAMATI YA BUNGE YA HESABU ZA SERIKALI ZA MITAA(LAAC) YATEMBELEA SKIMU YA UMWAGILIAJI YA MANGORA WILAYANI KARATU

March 12, 2015

Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali za Mitaa,(LAAC) ikitembelea kukagua mradi wa umwagiliaji wa Skimu ya Mang'ora wilayani Karatu.
Baadhi ya Mashamba ya Vitunguu katika skimu ya umwagiliaji ya Mang'ora.
Watoto wakiwa wamebeba mazao wakitoka katika moja ya mashamba yaliyoko katika skimu hiyo.
Mwenyekiti wa kamati ndogo ya Bunge ya Hesabu za Serikali za Mitaa,Azza Hamad akiongozwa kuvuka katika mfereji wa maji katika Skimu ya Umwagiliaji ya Mang'ora wilayani Hai.
Mtoto akivusha mifugo yake katika mfereji wa maji ulioko katika skimu ya umwagiliaji ya Mang'ora.
Mfereji wa maji uliojengwa katika skimu ya Mang'ora kwa fedha za serikali ambao hata hivyo hautumiki. 
Mwenyekiti wa kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali za Mitaa,Azza Hamad akitizama mfereji wa maji katika skimu ya Maji ya Mang'ora iliyojengwa kwa fedha za serikali ambao hata hivyo hautumiki.
Mifereji ya maji ambayo imekuwa ikitumika kupeleka maji kwenye mashamba licha ya uwepo wa mfereji uliojengwa katika eneo hilo ambao hata hivyo hautumiki.
Wajumbe wa Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali za Mitaa wakiwa na wakulima wanao tumia maji katika skimu ya umwagiliaji ya Mang'ora iliyopo wilayani Karatu.
Katibu wa Kamati ya Hesabu za Serikali za Mitaa (LAAC) Dickson Bisire akizungumza wakati wa kikao cha majumuisho ya ziara ya kamati hiyo iliyofanyika wilayani Karatu.
Baadhi ya Madiwani wa Halamashauri ya wilaya ya Karatu wakiwa katika kikao hicho.
Wajumbe wa kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali za Mitaa wakiwa katika kikao hicho cha mwisho.
Mkurugenzi wa Halmashauri ya wilaya ya Karatu akiwa na Mwenyekiti wa Halamashauri ya wilaya ya Karatu Lazaro Titus wakimsikiliza mwenyekiti wa Kamati hiyo wakati akitoa maazimio ya Kamati hoyo mara baada ya kumaliza ziara hiyo.
Mwenyekiti wa LAAC,Azza Hamad akitoa maazimio ya kamati mara baada ya ziara.
Mwenyekiti wa Halmashauri ya wilaya ya Karatau Lazaro Titus akizungumza jambo wakati wa kikao cha majumuisho cha kamati ya LAAC kilichofanyika katika Hotel ya Flamingo mjini Karatau. 
Na Dixon Busagaga wa Globu ya Jamii Kanda ya Kaskazini.

Share this

Related Posts

Previous
Next Post »