Mwenyekiti wa Baraza la Mawaziri wa Nchi Wanachama wa Jumuiya ya Madola na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa,Mhe. Bernard Membe na
ujumbe wake kwenye mazungumzo ya kikazi na Mhe. James Duddridge, Waziri
wa Masuala ya Afrika wa Uingereza mara baada ya kuwasili London
Jumatano tarehe 11/03/2015.
Mwenyekiti wa Baraza la Mawaziri wa Nchi Wanachama wa Jumuiya ya Madola na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa,Mhe. Bernard Membe mara
baada ya kuwasili kwenye uwanja wa ndege Jijini London na kupokelewa na
Balozi wa Tanzania nchini Uingereza Mhe. Peter Kallaghe na Naibu Mkuu
Mkuu wa Ubalozi Msafiri Marwa (wa pili kushoto) na Mkuu wa Idara ya
Ushirikiano wa Kimataifa Balozi Celestine Mushy.
Mwenyekiti
wa Baraza la Mawaziri wa Nchi Wanachama wa Jumuiya ya Madola na Waziri
wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa wa Tanzania Mhe. Bernard
Membe akiwa na Katibu Mkuu wa Sekretarieti ya Jumuiya ya Madola Mhe.
Kamalesh Sharma kabla ya kuanza kikao cha faragha.
Mwenyekiti wa Baraza la Mawaziri wa Nchi Wanachama wa Jumuiya ya Madola na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa,Mhe. Bernard Membe na
ujumbe wake wakiwa kwenye kikao cha kazi na Katibu Mkuu wa Sekretarieti
ya Jumuiya ya Madola Mhe. Kamalesh Sharma Jumatano tarehe 11/03/2015.
Mwenyekiti
wa Baraza la Mawaziri wa Nchi Wanachama wa Jumuiya ya Madola na Waziri
wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa wa Tanzania Mhe. Bernard
Membe akiwa na Waziri wa Masuala ya Afrika wa Uingereza Mhe. James
Duddridge baada ya kuwasili Jijini London kwa ajili ya kikao cha kazi
cha Jumuiya ya Madola tarehe 11-12 Machi 2015.