January 17, 2014

*WAENDESHA BODABODA WA JIJINI ARUSHA WAANDAMANA KUPINGA KUZUILIWA KUEGESHA PIKIPIKI ZAO KATIKATI YA JIJI

Waendesha Bodaboda wa Jijini Arusha wakiwa wamekusanyika huku wakiimba kuwashinikiza askari kufungua vizuizi vilivyowekwa barabarani kuanzia leo asubuhi kwa ajili ya kuwazuia kupita kuingia maeneo ya katikati ya jiji, ambapo wamezuiliwa kuegesha pikipiki katika maeneo ya katikati ya Jiji na kuamua kuandamana ili kupinga utaratibu huo.
Waendesha pikipiki wakiandamana na baadhi wakiwa na mabango.

Share this

Related Posts

Previous
Next Post »