Masheha wa Wilaya ya Micheweni katika Semina
MWANASHERIA wa serikali
kutoka Afisi ya Mkurugnezi wa mashitaka kisiwani Pemba Allbaghiri Yakout Juma, akiwasilisha
mada juu ya utaratibu wa kushughulikia makosa ya jinai, kwenye mafunzo
yaliowashirikisha masheha wa wilaya ya Micheweni, juu kutambulisha kazi za
wasaidizi wa sheria wa majimbo ya Micheweni, mafunzo yaliofanyika Ofisi ya
Kituo cha huduma za sheria Chake chake, kulia ni Mratibu wa kituo hicho, Fatma
Khamis Hemed akifutiwa na Mwenyekiti wa masheha wilaya ya Micheweni Dawa Juma
Mshindo (picha na Haji Nassor, Pemba)
MRATIBU
wa Kituo cha huduma za sheria Pemba, Fatma Khamis Hemed, akiwasilisha
mada juu ya Kazi za kituo na dhana ya wasaidizi wa sheria kwa masheha wa
shehia ya Wilaya ya Micheweni mafunzo yaliofanyika afisini kwao mjini
Chakechake Pemba (picha na Haji Nassor, Pemba)