March 03, 2014

Masheha wa Wilaya ya Micheweni katika Semina

 
MWANASHERIA wa serikali kutoka Afisi ya Mkurugnezi wa mashitaka kisiwani  Pemba Allbaghiri Yakout Juma, akiwasilisha mada juu ya utaratibu wa kushughulikia makosa ya jinai, kwenye mafunzo yaliowashirikisha masheha wa wilaya ya Micheweni, juu kutambulisha kazi za wasaidizi wa sheria wa majimbo ya Micheweni, mafunzo yaliofanyika Ofisi ya Kituo cha huduma za sheria Chake chake, kulia ni Mratibu wa kituo hicho, Fatma Khamis Hemed akifutiwa na Mwenyekiti wa masheha wilaya ya Micheweni Dawa Juma Mshindo (picha na Haji Nassor, Pemba)

MRATIBU wa Kituo cha huduma za sheria Pemba, Fatma Khamis Hemed, akiwasilisha mada juu ya Kazi za kituo na dhana ya wasaidizi wa sheria kwa masheha wa shehia ya Wilaya ya Micheweni mafunzo yaliofanyika afisini kwao mjini Chakechake Pemba  (picha na Haji Nassor, Pemba)

Share this

Related Posts

Previous
Next Post »