Mchezo wa kubahatisha wa Tatu Mzuka kupitia mshindi wa wiki iliyo pita kutoka Temeke Erinisha
Kilango aliyeshinda milioni 50,wamezawadia Wilaya ya Temeke mabati ya
thamani ya milioni 5 kusaidia kujenga kituo cha polisi cha Mbande.
Tatu
Mzuka inasemaga kuwa "ukishinda na Tanzania inashinda. Kwenye wilaya
ambayo mshindi anatoka, Tatu Mzuka wanazawadia wilaya milioni 5
kusaidia maendeleo ya wilaya hiyo.
Ukicheza
Tatu Mzuka , unaweza kushinda hadi milioni 6 kila lisaa, milioni 10 kila
siks na jumapili hii kuna jackpot ya milioni 70 ya kuzawadia.
Afisa wa Mawasiliano Bi. Kemi Mutahaba akikabithi mabati ya thamani ya
millioni 5 kwa Katibu Tawala wa Temeke Mh. Hamisi Komba kusaidia
kujenga kituo cha Polisi Mbande, wilaya ya Temeke.
Mafundi wa ujenzi wakiwa wana kabidhiwa mabati yenye thamani ya milioni
5 na Afisa ya Mawasiliano wa Tatu Mzuka, Bi Kemi Mutahaba.
Mhe Hamisi Komba, Katibu Tawala wa wilaya ya Temeke akikabidhiwa fedha tasilimu milioni 5 na Bi . Kemi Mutahaba wa Tatu Mzuka kwa ajili ya kununua mabati yatakayo
tumika kujenga kituo cha Polisi Mbande, Temeke.
--
Ahmad Issa Michuzi
Editorial Director
P.O BOX 9033,
DAR ES SALAAM.
issamichuzi.blogspot.com
www.michuzijr.blogspot.com
othmanmichuzi.blogspot.com
Phone:0713 422 313/ 0783 422 313
Tanzania- East Africa.