RAIS WA ZANZIBAR DKT ALI MOHAMMED SHEIN AMETOA NISHANI KWA WATUMISHI MBALIMBALI WA SERIKALI YA ZANZIBAR

January 11, 2018
DSC_1337
Baadhi ya Viongozi mbalimbali waliohudhuria katika hafla ya Utoaji wa Nishani mbalimbali ikiwemo nishani ya Mapinduzi na Utumishi wa Serikali uliotukuka Ikulu Mnazi mmoja Wilaya ya Mjini Unguja.Ikiwa ni miongoni mwa Shamra shamra za maadhimisho ya miaka 54 ya Mapinduzi ya Zanzibar.
DSC_1339
Baadhi ya Wageni waalikwa  waliohudhuria katika hafla ya Utoaji wa Nishani mbalimbali ikiwemo nishani ya Mapinduzi na Utumishi wa Serikali uliotukuka Ikulu Mnazi mmoja Wilaya ya Mjini Unguja.Ikiwa ni miongoni mwa Shamra shamra za maadhimisho ya miaka 54 ya Mapinduzi ya Zanzibar.
DSC_1387
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt,Ali Mohammed Shein akimvisha nishani ya Mapinduzi Jaji Mstaafu wa Mahakama  ya Rufaa ya Tanzania Jaji Damian Lubuva katika hafla ya Utoaji wa Nishani mbalimbali. Ikulu Mnazi mmoja Wilaya ya Mjini Unguja.Ikiwa ni miongoni mwa Shamra shamra za maadhimisho ya miaka 54 ya Mapinduzi ya Zanzibar.
DSC_1402
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt,Ali Mohammed Shein akimvisha nishani ya Utumishi wa Serikali uliotukuka Bibi Mwanacha Hassan katika hafla ya Utoaji wa Nishani mbalimbali. Ikulu Mnazi mmoja Wilaya ya Mjini Unguja.Ikiwa ni miongoni mwa Shamra shamra za maadhimisho ya miaka 54 ya Mapinduzi ya Zanzibar.
DSC_1430
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt Ali Mohammed Shein katikati akiwa katika picha ya pamoja na Viongozi na  Waliopewa nishani  katika hafla ya Utoaji wa Nishani mbalimbali ikiwemo nishani ya Mapinduzi na Utumishi wa Serikali uliotukuka Ikulu Mnazi mmoja Wilaya ya Mjini Unguja.Ikiwa ni miongoni mwa Shamra shamra za maadhimisho ya miaka 54 ya Mapinduzi ya Zanzibar.
PICHA NA YUSSUF SIMAI/MAELEZO ZANZIBAR.

Share this

Related Posts

Previous
Next Post »