Baadhi ya Viongozi mbalimbali
waliohudhuria katika hafla ya Utoaji wa Nishani mbalimbali ikiwemo
nishani ya Mapinduzi na Utumishi wa Serikali uliotukuka Ikulu Mnazi
mmoja Wilaya ya Mjini Unguja.Ikiwa ni miongoni mwa Shamra shamra za
maadhimisho ya miaka 54 ya Mapinduzi ya Zanzibar.
Baadhi ya Wageni waalikwa
waliohudhuria katika hafla ya Utoaji wa Nishani mbalimbali ikiwemo
nishani ya Mapinduzi na Utumishi wa Serikali uliotukuka Ikulu Mnazi
mmoja Wilaya ya Mjini Unguja.Ikiwa ni miongoni mwa Shamra shamra za
maadhimisho ya miaka 54 ya Mapinduzi ya Zanzibar.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa
Baraza la Mapinduzi Dkt,Ali Mohammed Shein akimvisha nishani ya
Mapinduzi Jaji Mstaafu wa Mahakama ya Rufaa ya Tanzania Jaji Damian
Lubuva katika hafla ya Utoaji wa Nishani mbalimbali. Ikulu Mnazi mmoja
Wilaya ya Mjini Unguja.Ikiwa ni miongoni mwa Shamra shamra za
maadhimisho ya miaka 54 ya Mapinduzi ya Zanzibar.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa
Baraza la Mapinduzi Dkt,Ali Mohammed Shein akimvisha nishani ya Utumishi
wa Serikali uliotukuka Bibi Mwanacha Hassan katika hafla ya Utoaji wa
Nishani mbalimbali. Ikulu Mnazi mmoja Wilaya ya Mjini Unguja.Ikiwa ni
miongoni mwa Shamra shamra za maadhimisho ya miaka 54 ya Mapinduzi ya
Zanzibar.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti
wa Baraza la Mapinduzi Dkt Ali Mohammed Shein katikati akiwa katika
picha ya pamoja na Viongozi na Waliopewa nishani katika hafla ya
Utoaji wa Nishani mbalimbali ikiwemo nishani ya Mapinduzi na Utumishi wa
Serikali uliotukuka Ikulu Mnazi mmoja Wilaya ya Mjini Unguja.Ikiwa ni
miongoni mwa Shamra shamra za maadhimisho ya miaka 54 ya Mapinduzi ya
Zanzibar.
PICHA NA YUSSUF SIMAI/MAELEZO ZANZIBAR.