Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi
(CCM) Rais Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akisalimiana na Katibu
wa Itikadi na Uenezi wa (CCM) Humphrey Polepole kabla ya kuanza
mazungumzo yao Ikulu jijini Dar es Salaam.
Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi
CCM Rais Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akiwa katika mazungumzo na
Katibu wa Itikadi na Uenezi wa (CCM) Humphrey Polepole Ikulu jijini Dar
es Salaam.
Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi
(CCM) Rais Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akiagana na Mwenyekiti
wa Chama cha Mapinduzi CCM Rais Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli mara
baada ya mazungumzo yao Ikulu jijini Dar es Salaam.
Katibu wa Itikadi na Uenezi wa
(CCM) Humphrey Polepole akizungumza mara bada ya kikao chake na
Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi CCM Rais Mheshimiwa Dkt. John Pombe
Magufuli Ikulu jijini Dar es Salaam. PICHA NA IKULU