MATUKIO YA MECHI BAINA YA COASTAL UNION NA KURUGENZI FC YA MUFINDI DAKIKA 45 ZA KIPINDI CHA KWANZA COASTAL UNION IKITOKA KIFUA MBELE MABAO 3-0

January 13, 2018
Waziri wa Afya,Maendeleo ya Jamii,Jinsia Wazee na Watoto,Ummy Mwalimu ambaye alikuwa mgeni rasmi katika mchezo baina ya Coastal Union na Kurugenzi ya Mufundi akifuatilia mchezo huo katikati akiwa na Jezi ya Coastal Union kushoto ni Mwenyekiti wa timu ya Coastal Union Steven Mguto na Kulia ni Katibu wa Chama cha Soka Mkoa wa Tanga(TRFA) Beatrice Mgaya
 Sehemu ya mashabiki wa soka mkoa wa Tanga wakiojitokeza kufuatilia mchezo huo
 Wachezaji wa timu ya Coastal Union wakishangilia moja ya bao nne ambazo walifunga wakati wa kipindi cha dakika 45 za kwanza kabla ya kuanza kipindi cha pili ambapo Coastal Union ilikuwa ikiongoza kwa mabao 3-0
 Mchezaji wa timu ya Coastal Union Raizani Hafidhi kushoto akijaribu kumtoka wa timu ya Kurugenzi FC ya Mufindi Nickraus Mwansumbule wakati wa mchezo wa Ligi Daraja la kwanza uliochezwa leo kwenye uwanja wa CCM Mkwakwani mjini Tanga ambapo mpaka dakika 45 Coastal Union walikuwa wakiongoza kwa mabao 3-0

Share this

Related Posts

Previous
Next Post »