LEO NI SIKU YA KUZALIWA KWA MDAU MUGANYIZI BISHEKO

January 12, 2018
 
Leo January 12, 2018 ni siku ya kuzaliwa kwa Ofisa Masoko Mwandamizi wa Bank of Africa Tanzania, Muganyizi Bisheko. Wote kwa pamoja tunapenda kukutakia heri na fanaka. Mwenyezi Mungu akujalie maisha marefu.


Share this

Related Posts

Previous
Next Post »