Spika wa Bunge Mhe Job Ndugai
akiwasili katika kanisa kuu katoliki Jimbo la DodomaKushiriki misa
takatifu, masifu na mazishi ya Askofu msataafu wa Jimbo la Dodoma Hayati
Mathias Isuja Joseph.
Spika wa Bunge Mhe Job Ndugai
akiteta jambo na Mweyekiti wa Tume ya Uchaguzi Jaji Damian Lubuva wakati
wa misa takatifu, masifu na mazishi ya Askofu msataafu wa Jimbo la
Dodoma Hayati Mathias Isuja Joseph katika kanisa kuu katoliki Jimbo la
Dodoma.
Waziri Mkuu Mhe Majaliwa Kassim
,Spika wa Bunge Mhe Job Ndugai na Mweyekiti wa Tume ya Uchaguzi Jaji
Damian Lubuva wakishiriki misa takatifu, masifu na mazishi ya Askofu
msataafu wa Jimbo la Dodoma Hayati Mathias Isuja Joseph katika kanisa
kuu katoliki Jimbo la Dodoma.
Waziri Mkuu Mhe Majaliwa Kassim
,Spika wa Bunge Mhe Job Ndugai na Mweyekiti wa Tume ya Uchaguzi Jaji
Damian Lubuva wakishiriki misa takatifu, masifu na mazishi ya Askofu
msataafu wa Jimbo la Dodoma Hayati Mathias Isuja Joseph katika kanisa
kuu katoliki Jimbo la Dodoma.
Spika wa Bunge Mhe Job Ndugai
akitoa salamu za rambirambi wakati wa misa takatifu, masifu na mazishi
ya Askofu msataafu wa Jimbo la Dodoma Hayati Mathias Isuja Joseph
katika kanisa kuu katoliki Jimbo la Dodoma.