Rais
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein
(kushoto) akipata maelezo kutoka kwa Daktari dhamana wa Kituo cha
Maradhi ya Kipindupindu Ramadhan Mikidadi Suleiman leo
asubuhi alipotembelea kituoni hapo Chumbuni karakana Wilaya ya
Magharibi Unguja,wengine ni Waziri wa Afya Mahmoud Thabit Kombo(wa pili
kushoto) na naibu Waziri wa Wizara hiyo Harusi Said Suleiman na Katibu
Mkuu Dkt.Juma Malik Akili (katikati).[Picha na Ikulu.]
Baadahi ya watoa huduma na wananchi wakisubiri huduma katika Kituo cha Maradhi ya Kipindupindu kama wanavyoonekwanwa wakati Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein alipotembelea kituoni hapo Chumbuni karakana Wilaya ya Magharibi Unguja leo asubuhi,[Picha na Ikulu.]
Rais
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein
akipata maelezo kutoka Mkurugenzi kinga Wizara ya Afya Dk.Mohamed Dahoma
(katikati) wakati alipotembelea Kituo cha Maradhi ya Kipindupindu hapo Chumbuni karakana Wilaya ya Magharibi Unguja leo asubuhi,wengine ni Daktari dhamana wa Kituo cha Maradhi ya KipindupinduRamadhan Mikidadi Suleiman (kushoto)Mkurugenzi Mkuu wa Wizara ya Afya Dkt.Jama Adam Taib(wa pili kushoto),[Picha na Ikulu.]
Rais
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein
akitoa maelezo kwa Uongozi wa Wizara ya Afya wakati alipotembelea Kituo cha Maradhi ya Kipindupindu hapo Chumbuni karakana Wilaya ya Magharibi Unguja leo asubuhi,(wa pili kushoto) Waziri wa Afya Mahmoud Thabiti Kombo, [Picha na Ikulu.]
Rais
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein
(kulia) akisalimiana na Mkuu wa Shirika la Kimataifa la LIONS CLUBS
Kanda ya Tanzania na Uganda Bw.Hyderall Gangji wakati alipotembelea Kituo cha Maradhi ya Kipindupindu hapo Chumbuni karakana Wilaya ya Magharibi Unguja leo asubuhi,wengine (kushoto) Mustafa kudrati LIONS CLUBS Tanzania na Waziri wa Afya Mahmoud Thabit Kombo,[Picha na Ikulu.]
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (katikati) akimsikiliza Mwanamama Siti Akida Makame mkaazi wa Ziwa Maboga aliyeruhusiwa kurudi nyumbani katika kituo cha Maradhi ya Kipindupindu hapo Chumbuni Karakana Wilaya ya Magharibi Unguja,baada ya kuugua maradhi hayo wakati Rais alipotembelea Kituo hicho leo asubuhi,[Picha na Ikulu.]