Waziri wa Habari,Utamaduni,Sanaa
na Michezo Mhe.Nape Nnauye(kushoto) akimkaribisha ofisini kwake Balozi
wa Uturuki Bi.Yasemin ERALP.Balozi uyo alimtembelea Waziri Nape kwa
ajili ya kuzungumzia ushirikiano wa Tanzania na Uturuki katika masuala
mbalimbali ya Habari,Utamaduni,Sanaa na Michezo.
Waziri wa Habari,Utamaduni,Sanaa
na Michezo Mhe.Nape Nnauye(kushoto) akizungumza jambo na Balozi wa
Uturuki nchini Bi.Yasemin ERALP leo jijini Dar es salaam.Waziri Nape
alimsihi Balozi uyo kuwekeza katika Nyanja mbalimbali za Filamu,Michezo
na kubadilishana ujuzi katika sekta ya Habari na kumwahidi ushirikiano
ulio bora kati ya nchi izo mbili.