Balozi wa Uturuki nchini amtembelea waziri wa Habari,Utamaduni,Sanaa na Michezo.

January 06, 2016


utr1
Waziri wa Habari,Utamaduni,Sanaa na Michezo Mhe.Nape Nnauye(kushoto) akimkaribisha ofisini kwake Balozi wa Uturuki Bi.Yasemin ERALP.Balozi uyo alimtembelea Waziri Nape kwa ajili ya kuzungumzia ushirikiano wa Tanzania na Uturuki katika masuala mbalimbali ya Habari,Utamaduni,Sanaa na Michezo.
utr2
Waziri wa Habari,Utamaduni,Sanaa na Michezo Mhe.Nape Nnauye(kushoto) akizungumza jambo na Balozi wa Uturuki nchini Bi.Yasemin ERALP leo jijini Dar es salaam.Waziri Nape alimsihi Balozi uyo kuwekeza katika Nyanja mbalimbali za Filamu,Michezo na kubadilishana ujuzi katika sekta ya  Habari na kumwahidi ushirikiano ulio bora kati ya nchi izo mbili.

Share this

Related Posts

Previous
Next Post »