Mgombea
Ubunge jimbo la Kibamba kupitia tiketi ya Chama cha Mapinduzi Mhe.Dkt
Fenella Mukangara akiwa kwenye mazungumzo na wakazi wa
jimbo la kibamba(kwa Yusuph) wakati alipotembelea vikundi vya vicoba
ili kuwaskiliza kero zao ili kujua matatizo wanayowakabili kwa ujumla.
Mkazi
wa kata ya Msigani(aliyesimama) akielezea matatizo yanayowakabili
wakazi wa eneo ilo na kumwomba mgombea wa Jimbo ilo kwa tiketi ya Chama
cha Mapinduzi Dkt Fenella Mukangara kuyatafutia ufumbuzi atakapopata
nafasi ya kuwatumikia.
Mgombea
udiwani kata ya Msigani kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi Siraju Hassan
Mwasha(aliyesimama) akiwa anazungumza na wakazi wa Maramba mawili na
kunadi sera za chama chake.Bw Mwasha aliambatana na mgombea Ubunge wa
jimbo la kibamba kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi Dkt Fenella
Mukangara.
Mgombea
Ubunge jimbo la Kibamba kupitia tiketi ya Chama cha Mapinduzi Mhe.Dkt
Fenella Mukangara akiwaaga wakazi wa kwa Msigwa kata ya msigani baada ya
kuzungumza na wakazi hao pamoja na vikundi vya kijasiriamali ili kujua
ni kero gani zinawasibu ili kuboresha makundi hayo na maeneo yao kwa
ujumla.
Mmmoja
wa wanakikundi wa Vicoba mtaa wa Temboni,Mbezi(aliyesimama) akimwuliza
maswali mgombea Ubunge kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi(aliyekaa
amesuka) Dkt Fenella Mukangara ni jinsi gani atawasaidia kuboresha
vikundi vyao vya vicoba na jinsi gani atawasaidia ili wapate mafunzo ya
ujasiriamali.
EmoticonEmoticon