Waziri
wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. William Lukuvi akizungumza
na waandishi wa habari ofisini kwake waliotaka kujua jinsi
alivyoshughulikia migogoro ya Ardhi nchini.
Waziri
wa Ardhi Mhe. William Lukuvi pamoja na Naibu wake Mhe. Angela kairuki
wakipokea malalamiko ya wananchi wenye migogoro ya ardhi katika mkoa wa Dar es salaam
Waziri wa Ardhi akimsikiliza kwa makini mwananchi mwenye malalamiko ya mgogoro wa ardhi kutoka manispaa ya kinondoni.
Baadhi ya Wananchi wa Dar es salaam wenye Migogoro ya Ardhi wakiwa katika mkutano huo.
picha na KITENGO CHA MAWASILIWANO SERIKALINI
WIZARA YA ARDHI, NYUMBA NA MAENDELEO YA MAKAZI
WIZARA YA ARDHI, NYUMBA NA MAENDELEO YA MAKAZI
EmoticonEmoticon