WAKAZI WA DAR ES SALAAM WARIDHISHWA NA UTENDAJI WA WAZIRI LUKUVI KATIKA KUTATUA MIGOGORO YA ARDHI

September 25, 2015

1 
Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. William Lukuvi akizungumza na waandishi wa habari ofisini kwake waliotaka kujua jinsi alivyoshughulikia migogoro ya Ardhi nchini.2 
Waziri wa Ardhi Mhe. William Lukuvi pamoja na Naibu wake Mhe. Angela kairuki wakipokea malalamiko ya wananchi wenye migogoro ya ardhi katika mkoa wa Dar es salaam3 
Waziri wa Ardhi akimsikiliza kwa makini mwananchi mwenye malalamiko ya mgogoro wa ardhi kutoka manispaa ya kinondoni.4 
Baadhi ya Wananchi wa Dar es salaam wenye Migogoro ya Ardhi wakiwa katika mkutano huo.
picha na KITENGO CHA MAWASILIWANO SERIKALINI
WIZARA YA ARDHI, NYUMBA NA MAENDELEO YA MAKAZI

Share this

Related Posts

Previous
Next Post »