Rais wa Zanzibar Dk.Ali Mohamed Shein azindua miradi ya maendeleo katika Mkoa kaskazini Pemba

August 25, 2015

1
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akisalimiana na Viongozi mbali mbali alipowasili katika Uwanja wa Ndege wa Karume akiwa katika ziara ya kuzindua miradi mbali mbali ya maendeleo katika Mkoa wq kaskazini Pemba,
[Picha na Ikulu.]
2
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein na Mkewe Mama Mwanamwema Shein wakisalimiana na Viongozi mbali mbali walipowasili katika Uwanja wa Ndege wa Karume   katika ziara ya kuzindua miradi mbali mbali ya maendeleo katika Mkoa wq kaskazini Pemba.
3
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akifungua pazia kama ishara ya uzinduzi wa Mradi wa majisafi na salama katika kijiji cha Taif wete kaskazini Pemba leo akiwa katika ziara ya kuifungua  miradi mbalimbali ya Serikali kisiwani humo, mradi uliofadhiliwa na Benki ya maendeleo ya Afrika ADB,
5
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akifungua mfereji kama ishara ya uzinduzi wa Mradi wa majisafi na salama katika kijiji cha Taif wete kaskazini Pemba leo akiwa katika ziara ya kuifungua  miradi mbalimbali ya Serikali kisiwani humo,mradi uliofadhiliwa na Benki ya maendeleo ya Afrika ADB,
4
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akimtwisha Ndoo ya Maji Mwajuma Ahmed Abdalla baada ya kufungua Mradi wa Maji safi na Salama katika kijiji cha  Taif Wete Pemba Mkoa wa Kaskazini leo akiwa katika ziara ya kuifungua  miradi mbalimbali ya Maendeleo, mradi ambao uliofadhiliwa na Benki ya maendeleo ya Afrika ADB,

Share this

Related Posts

Previous
Next Post »