Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa
Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akisalimiana na Viongozi mbali
mbali alipowasili katika Uwanja wa Ndege wa Karume akiwa katika ziara ya
kuzindua miradi mbali mbali ya maendeleo katika Mkoa wq kaskazini
Pemba,
[Picha na Ikulu.]
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa
Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein na Mkewe Mama Mwanamwema Shein
wakisalimiana na Viongozi mbali mbali walipowasili katika Uwanja wa
Ndege wa Karume katika ziara ya kuzindua miradi mbali mbali ya
maendeleo katika Mkoa wq kaskazini Pemba.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa
Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akifungua pazia kama ishara ya
uzinduzi wa Mradi wa majisafi na salama katika kijiji cha Taif wete
kaskazini Pemba leo akiwa katika ziara ya kuifungua miradi mbalimbali
ya Serikali kisiwani humo, mradi uliofadhiliwa na Benki ya maendeleo ya
Afrika ADB,
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa
Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akifungua mfereji kama ishara
ya uzinduzi wa Mradi wa majisafi na salama katika kijiji cha Taif wete
kaskazini Pemba leo akiwa katika ziara ya kuifungua miradi mbalimbali
ya Serikali kisiwani humo,mradi uliofadhiliwa na Benki ya maendeleo ya
Afrika ADB,
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa
Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akimtwisha Ndoo ya Maji
Mwajuma Ahmed Abdalla baada ya kufungua Mradi wa Maji safi na Salama
katika kijiji cha Taif Wete Pemba Mkoa wa Kaskazini leo akiwa katika
ziara ya kuifungua miradi mbalimbali ya Maendeleo, mradi ambao
uliofadhiliwa na Benki ya maendeleo ya Afrika ADB,